Naomba kufahamu ni hospital gani au Dr gani anaweza saidia tiba ya tezi dume.
Mzee wangu ameonekana na tezi dume kwa vipimo vya awali.
Mgonjwa yupo Morogoro.
..Maza Abduli anatumia watu wa hovyo kumfanyia propaganda.
..Mbowe huyu hapa akieleza kilichotokea wakati wa kumsafirisha Lissu kwenda Nairobi kwa matibabu...
TANO KALI ZA NASIBU .
Kabla matikiti hayajaanza kudondokeana yalistawishwa kwenye kitalu bora kabisa Cha bishoo bob junior pale sharobaro records.
Nasibu Abdul Juma hakuviiba na kuviuza Vito vya...
Mishangazi mingine inanyanyasa sana vibenteni, tena ukute shangazi la kanda ya kaskazini.
Kwanza wa bahili kutoa pesa,na wakikupa ni kwa masimango na unaifanyia kazi kwelikweli.
Imagine unyonye...
Tunaomba Serikali yetu sikivu iangalie hili janga la Vipodozi Haramu vinavyouzwa kama njugu hapa Matui na bwana moja anayejieta ni Agent wa Vipodozi kutoka Congo, Zambia na South Africa, huyu mtu...
Kumekua na Tabia za watu, Baadhi ya Maeneo hasa Miji mikubwa hapa Tanzania.
Watu kufanya mazoezi Barabarani.
Kundi la watu kufanya mazoezi ya kukimbia na kuleta msongamano wa magari,
Kwa mtazamo...
Tumeendelea kufuatilia ili kujua sababu hasa ya Bwana Malissa kukamatwa tena leo na kwamba eti ana kesi mpya huko Kilimanjaro.
Katika machache tuliyoyapata ni kuhusika kwa Adolf Mkenda...
Kamanda Tundu Lissu amekanusha madai yaliyotolewa hapo nyuma kidogo na Lema kwamba Mbowe ndio aliyeshika chupa ya damu wakati akipelekwa Nairobi kwa matibabu.
Amesema aliyeshika chupa ya damu...
Aliyekuwa msanii wa hiphop, Mwana Fa kwenye mahojiano amesema kwamba kama sio mazishi yeye hawezi kumchangia yeyote harusi yake.
"Mimi huwa sichangi harusi ya mtu, kama ni mazishi nitachanga kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.