Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Naomba kufahamu ni hospital gani au Dr gani anaweza saidia tiba ya tezi dume. Mzee wangu ameonekana na tezi dume kwa vipimo vya awali. Mgonjwa yupo Morogoro.
2 Reactions
14 Replies
188 Views
..Maza Abduli anatumia watu wa hovyo kumfanyia propaganda. ..Mbowe huyu hapa akieleza kilichotokea wakati wa kumsafirisha Lissu kwenda Nairobi kwa matibabu...
1 Reactions
4 Replies
26 Views
TANO KALI ZA NASIBU . Kabla matikiti hayajaanza kudondokeana yalistawishwa kwenye kitalu bora kabisa Cha bishoo bob junior pale sharobaro records. Nasibu Abdul Juma hakuviiba na kuviuza Vito vya...
1 Reactions
13 Replies
274 Views
Mishangazi mingine inanyanyasa sana vibenteni, tena ukute shangazi la kanda ya kaskazini. Kwanza wa bahili kutoa pesa,na wakikupa ni kwa masimango na unaifanyia kazi kwelikweli. Imagine unyonye...
9 Reactions
8 Replies
9 Views
Tunaomba Serikali yetu sikivu iangalie hili janga la Vipodozi Haramu vinavyouzwa kama njugu hapa Matui na bwana moja anayejieta ni Agent wa Vipodozi kutoka Congo, Zambia na South Africa, huyu mtu...
0 Reactions
3 Replies
7 Views
Kumekua na Tabia za watu, Baadhi ya Maeneo hasa Miji mikubwa hapa Tanzania. Watu kufanya mazoezi Barabarani. Kundi la watu kufanya mazoezi ya kukimbia na kuleta msongamano wa magari, Kwa mtazamo...
1 Reactions
2 Replies
25 Views
Tumeendelea kufuatilia ili kujua sababu hasa ya Bwana Malissa kukamatwa tena leo na kwamba eti ana kesi mpya huko Kilimanjaro. Katika machache tuliyoyapata ni kuhusika kwa Adolf Mkenda...
4 Reactions
11 Replies
287 Views
Kamanda Tundu Lissu amekanusha madai yaliyotolewa hapo nyuma kidogo na Lema kwamba Mbowe ndio aliyeshika chupa ya damu wakati akipelekwa Nairobi kwa matibabu. Amesema aliyeshika chupa ya damu...
7 Reactions
52 Replies
843 Views
Aliyekuwa msanii wa hiphop, Mwana Fa kwenye mahojiano amesema kwamba kama sio mazishi yeye hawezi kumchangia yeyote harusi yake. "Mimi huwa sichangi harusi ya mtu, kama ni mazishi nitachanga kwa...
0 Reactions
10 Replies
56 Views
Wanajamvi, Nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nini kinachoendelea?
44 Reactions
52K Replies
3M Views

FORUM STATS

Threads
1,860,771
Posts
49,810,972
Back
Top Bottom