Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mimi nilitamaani mama afanikiwe na bado natamaani! Mimi ni wale tuliotolewa upinzani kwa 'lazma' na kuniunga CCM.. Sijui leo nina sura gani? Ila kwasababu sura ya kwanza ilikuwa kusema ukweli...
0 Reactions
6 Replies
152 Views
Habar wana jamii forum mm ni mama wa watoto wawili na ndoa ya miaka kumi hapa nilipo sijui furaha ya ndoa ni ipi nina mume ambae anajiona yeye ni mkamilifu ila mm hata nifanye nini nianakosea...
4 Reactions
19 Replies
294 Views
Baada ya mwanamke kujua/ kufahamu mume wake anachepuka na kidada fulani jirani,mwanamke anaachika huku akidai hawezi kuvumilia mwanaume amletee magonjwa ya zinaa na UKIMWI Akiwa huko anakutana na...
11 Reactions
34 Replies
947 Views
Wanajamvi, Nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nini kinachoendelea?
44 Reactions
52K Replies
3M Views
Akiwa Singida katika mikutano yake hivi Juzi, Mh. Tundu Lissu alidai tena kwamba, anawindwa na watu wasiojulikana kama ilivyokuwa kipindi cha miaka ya 2016, 2017 pindi akiwa mbunge wa Bunge la...
1 Reactions
26 Replies
450 Views
Habari wakuu, nauza jiko langu hapa(used) linatumia umeme na Gas( Plate mbili umeme na mbili zingine Gas) bado liko sawa sana. Bei Tzs 200k ( Laki mbili) Location-IRINGA. 0747518207
0 Reactions
2 Replies
52 Views
KINAPANGISHWA- CHUMBA NA CHOO NDANI (0679268006) MAHALI: Ipo Mbezi beach Tangibovu, umbali wa kutembea kutoka kituo cha daladala. BEI: Tshs 90,000 , Miezi 6 Maji bomba ndani, luku yake, Parking ipo.
1 Reactions
2 Replies
137 Views
Mimi nilikuwa mtumishi wa Halmashauri na nilistaafu kwa mujibu wa sheria baada ya kufikisha miaka 60. Nilipofuatilia mafao yangu hawa wajamaa wakagoma kunilipa wakitoa sababu kuwa mpaka michango...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Feisal ameulizwa ulipofunga uliweka isharaaaa uwanja mzima washike adabu ndio.... Je, unakumbuka baba na mama walikuwa uwanjan kaanza kucheka hahahaa kwahio wazazi wako nao washike adabuuuuu...
5 Reactions
17 Replies
485 Views
2025 imekaribia, na ukiingia deep sana goli liko wazi . CHADEMA yetu hii haijawahi kuwa serious kushika dola . CCM yao baada ya miaka sitini bado imetubakiza kwenye ufukara ,tumekuwa omba omba...
2 Reactions
32 Replies
325 Views

FORUM STATS

Threads
1,860,798
Posts
49,811,613
Back
Top Bottom