Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Jeuli na kibuli, ndoa ni kama pesa haibadili tabia bali huzifichua, hakuna mwanaume anayeweza kuvumilia zarau na gubu ayupo mwanaume uyo, uwa tunaumia sana na kuteseka mno kutenganishwa na...
2 Reactions
3 Replies
22 Views
Where We Dare To Talk Openly Mlioko Uingereza, msaidieni huyu mama kufahamu wanawe walipo MSAADA TUTANI: OMBI LA KUWASILIANA NA WATOTO WALIOPO UINGEREZA KWA ZAIDI YA MIAKA 22 SASA. Picha za...
4 Reactions
21 Replies
445 Views
Mbunge wa Kahama Kishimba amesema 90% ya Wataalam wetu wanajua Kusoma na Kuandika lakini hawana Maarifa yoyote Kishimba amesema mambo mengi ya maendeleo Kule chini yamekwamishwa na hao wanaojiita...
15 Reactions
75 Replies
2K Views
Kama ilivyoshindwa mambo mengi, kufikia hadi kuuza Bandari basi ni vema sasa kurejesha tena usafiri wa Daladala kama ilivyokuwa awali Kutoka Kariako hadi Mbezi kupitia Kimara. Hii ni kwa sababu...
4 Reactions
14 Replies
170 Views
Ni mwendo wa engagements tu!! Na Hilo puuzi lililosimama linajifanya demu kabisa!! Eee Mwenyezi Mungu turehemu.
1 Reactions
4 Replies
24 Views
Mikopo inawadhililisha kila kona ya nchi. Kampuni za Microfinance zinawakopesha wanashindwa kulipa. Wanashitakiwa kila kona na hii ni aibu kubwa kwa mwajiri wao maana inaonekana hawallipi vizuri.
0 Reactions
6 Replies
159 Views
Rafiki yangu mpendwa, Kila mtu aliye hai, ambaye ana shughuli yoyote ya kumwingizia kipato, anao uwezo wa kujenga utajiri kwenye maisha yake. Ndiyo, nimesema kila mtu, hata wewe unayesoma hapa...
1 Reactions
10 Replies
333 Views
ICC kusema Waziri Mkuu wa Israel akamatwe Kwa makosa ya uhalifu dhidi ya binadamu, naona kunashadadiwa Sana na baadhi ya watu. Lakini makosa ya Netanyahu yanafanana Sana na makosa anayotuhumiwa...
9 Reactions
44 Replies
832 Views
Ukiingia kwenye huu mfumo wa Tausi kupitia tausi.tamisemi.go.tz una vitu vingi sana ndani japo vingine naona havifanyi kazi. Nimefurahishwa sana na uuzaji wa viwanja ambapo unanunua kiwanja...
15 Reactions
72 Replies
6K Views
Yupi ana fursa zaidi za kujiajiri na kuajiriwa kati ya aliyehitimu Bachelor of Science in Chemistry na aliyehitimu Bachelor of Science in Chemical and Process engineering?
0 Reactions
2 Replies
8 Views

FORUM STATS

Threads
1,856,393
Posts
49,689,413
Back
Top Bottom