Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wanaukumbi. 🇮🇱🇱🇧 Hapo jana Israel walisema wanaelekea kwenye uamuzi wa kuivamia Lebanon, leo Hezbollah wamerusha roketi kwenye kituo chao na kuua na kujeruhi makumi ya wanajeshi. Wakati huo...
0 Reactions
2 Replies
3 Views
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA MASHEIKH WALIOCHUKULIWA NA POLISI MAHAKAMANI JANA WAMETOLEWA LEO 5/6/24, ALASIRI KWA DHAMANA. (HAWAKUELEZWA DHAMANA YA TUHUMA GANI, MAANA WAMESHINDA KESI NA KUACHIWA...
0 Reactions
5 Replies
243 Views
Tupiamo chako, iwe ulialikwa kwenye sherehe, umepiga nacho selfie (hata kama hujala) umedoea! Umenunua, hata kama ni cha mchepuko ama nyumba ndogo cha hotelini msibani... Popote pale wee...
64 Reactions
34K Replies
2M Views
Serikali ya Tanzania inatarajia kuanza kujenga Bandari ya Uvuvi ya Bagamoyo Kwa kushirikiana na Korea Kusini ambayo itagharimu Dola Milioni 156.5 ambazo ni sawa na Shilingi Bilioni 400 za...
3 Reactions
37 Replies
764 Views
'Made in China 2025' ukipenda iite MIC25 Huu ni mpango kabambe wa serikali ya China wa miaka 10 (2015-2025). Ambapo China imepanga kufikia 2025 ijitegemee kabisa katika teknolojia za hali ya juu...
3 Reactions
5 Replies
57 Views
Unatumia mbinu gani ili hasira ziishe? 1. Unalia? 2. Unakaa kimya? 3. Unapigana? 4. Unamuomba Mungu 5. Unamcomfront na kumfokea alikuudhi? 6. Unasikiliza music? 7. Unatoka out? 8. Unaongea na Baby?
4 Reactions
73 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Kuna wakati nilishuhudia kwa macho yangu Mwenyewe watu wakiacha na kusimamisha kazi ili wafuatilie mijadala ya Bunge ,nilishuhudia watu wakiwa vikundi vikundi vibanda...
1 Reactions
9 Replies
48 Views
Kumekuwa na katabia kwa vyoo vya public mtu anaingia kujisaidia hasa haja ndogo hamwagi maji kabla ya kujisaidia bali akisha maliza haja yake ndo humwaga maji. Hivi hii kiafya imekaaje
0 Reactions
3 Replies
87 Views
Inawezekana sina hilo gari lenye hadhi ya kuwekea private registration plate, au labda sina gari kabisa. Lakini kiukweli nikipishana na gari njiani lina plate namba imeandikwa jina la mtu, uwa...
20 Reactions
109 Replies
2K Views
Una kituko umekiona mtandaoni, tushirikishane hapa…
105 Reactions
221K Replies
17M Views

FORUM STATS

Threads
1,860,651
Posts
49,807,988
Back
Top Bottom