Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Waziri Januari Makamba amesema hata kama hatumkubali Samia ni wetu hivyo tunatakiwa kuacha siasa hasa kuhusu ziara zake nje ya nchi kwani zimeleta manufaa makubwa kwa nchi. Waziri Makamba...
5 Reactions
56 Replies
1K Views
Mambo mengine ni serious sana, mfano haya mambo mbona kama ni makubwa na baadhi inaonekana hayana ukweli ?
1 Reactions
3 Replies
168 Views
Wakuu hope salama, polenii na majukumu ya kulijenga taifa na familia kwa ujumla. Dhumuni la kuandika huu uzi ni namna now navyojiskia, ilikuwa mwaka 2018 baada ya kumaliza chuo nikiwa kitaa sina...
2 Reactions
14 Replies
708 Views
Ni kwa kipindi kirefu tumeona serekali ikipambana sana kuzuia matumizi ya bangi na miraa (mirungi) lakini kwa tafiti zangu binafsi kwa wale watumiaji sijawahi kuona mtumiaji wa bangi amekosa bangi...
1 Reactions
25 Replies
251 Views
Club ya Real Madrid ya Hispania imetangaza rasmi kuwa imefikia makubaliano ya kumsajili Kylian Mbappe kwa mkataba wa miaka mitano. Mbappe anajiunga na Real Madrid baada ya kucheza PSG kwa miaka...
4 Reactions
76 Replies
2K Views
Mfumo wa Ajira Nchini kwetu umeshindikana kabisa hasa kwa tusio na Koneksheni kabisaa! Mfano: nimewahi kuitwa kwenye interview nyingi tu za serikalini ila zote zinafanywa kwa ushahidi tu ili wale...
5 Reactions
24 Replies
336 Views
Mnyukano unaoendelea ndani ya chadema umeanza kutuonyesha upande wa pili wa shilingi !Wana Chadema wengi wapo tayari kumlinda mtu kuliko chama ! Tl amelalamika kwamba anafuatiliwa na gari ambayo...
0 Reactions
1 Replies
9 Views
  • Sticky
Welcome to the Real Madrid C.F. Jamii Forums thread. Keep up to date with the latest news & engage with the club and other supporters. The club formed in 1902. Stadium: Santiago Bernabéu...
39 Reactions
51K Replies
2M Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
522K Replies
30M Views
Hellow wakuu.! Kuna bosi anahitaji mtu aliyesoma automobile engineering au mechanical engineering kwa level ya degree au diploma. Please kama ni mmoja wao nicheki inbox! Fresh from school atapewa...
0 Reactions
2 Replies
7 Views

FORUM STATS

Threads
1,860,799
Posts
49,811,662
Back
Top Bottom