Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wakuu kuna taasisi moja ya umma nimeenda kupewa huduma nikapewa control namba nilipie ila nilichoambulia kila wakala anasema hii haiwezekani kulipa. Nikarudi kwa taasisi husika nikawapa cash...
1 Reactions
2 Replies
36 Views
Masaa 2 yaliyopita mfungaji bora wa ligi kuu msimu wa 2023/2024 na mchezaji bora namba 2 Stephan Aziz Ki ametumia ukurasa wake rasmi wa Instagram kuwaaga mashabiki, wanachama, viongozi, wachezaji...
3 Reactions
42 Replies
1K Views
Una kituko umekiona mtandaoni, tushirikishane hapa…
105 Reactions
221K Replies
17M Views
Niliandika siku si nyingi hapo nyuma ni kwa nini ujenzi wa barabara hauanzi na maeneo hatarishi yanayoua wananchi kama Simike, Mlima Iwambi na Mlima Nyoka? Badala yake wajenzi wapo busy na maeneo...
2 Reactions
4 Replies
63 Views
Wakuu nimechoka toka jana sijalala... Nahisi kuchanganyikiwa... Nahisi maluwe luwe . Sielewi kwanini haya yanatokea kwangu... Nimechoka sasa nimechoka. Kama mbwai iwe mbwai tuu...
1 Reactions
3 Replies
4 Views
Baada ya mgomo wa madaktari Tanzania ulioacha vifo vingi na kufanikisha maboresho mengi katika sekta ya Afya miaka kadhaa iliyopita Sasa na Walimu nao wamekuja na mgomo baridi usioonekana kwa...
11 Reactions
23 Replies
435 Views
Wasalaam, Jf. Wakati Tundu AM Lissu akiamua kuasisi chama kipya cha Siasa na kuifanya Tanzania kuwa na jumla ya vyama 20 vya Siasa akianzia kukisimika chama huko kipya mkoani kwake Singida...
1 Reactions
3 Replies
4 Views
kunywa maziwa mara tu baada ya kumeza sumu kunafunika tumbo na kuzuia madhara? Maziwa si dawa au dawa ya sumu, wala hailindi tumbo kutokana na kemikali au sumu iliyomezwa. Ila yanasaidia tu...
1 Reactions
2 Replies
48 Views
Pamoja na Israel mara kadhaa kujitutumua kwamba karibuni itatangaza vita na Hizbullah lakini vita hivyo kiuhalisia vimekuwa vikiendelea kwa miezi kadhaa sasa sambamba na vita vinavyoendelea Gaza...
0 Reactions
4 Replies
61 Views
Special cases mtu aende form 6 Bado ni mdogo sana kiumri Hakuna uwezo wa kumlipia ada Kutaka kuwa mwalimu, Background yangu, Nilimaliza form 6 miaka ya 2009 nikapiga division 2 ya 10, baada ya...
6 Reactions
29 Replies
532 Views

FORUM STATS

Threads
1,860,616
Posts
49,807,059
Back
Top Bottom