Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu Innocent Chengula (23) kwenda jela miaka saba, baada ya kupatikana na makosa sita likiwamo la kujipatia Sh4 milioni kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa...
5 Reactions
46 Replies
914 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
522K Replies
30M Views
Kwema wakuu kuna kitu kinanitesa sana ni kuhusu muonekano wangu Mimi sio mrefu kama wanawake wanavyopenda wanaume warefu nina 168cm ila kusema ukweli nina Muonekano mzuri saana yaani mimi...
4 Reactions
37 Replies
264 Views
Mchungaji Masanja au Mchungaji Irene?
1 Reactions
2 Replies
3 Views
Unaweza kulala kitandani, ukamuona mtoto anang’aa, shape imejilaza ila hata kumgusa unashindwa, au hutamani kwa maudhi anayokupa. Yani utaambulia sifa za watu tu kua mke wako mzuri ila wewe...
31 Reactions
80 Replies
2K Views
Unasoma shangwe na vigelegele kila mahali, kuwa sasa chadema kwisha! Sijui kama hili chadema mnaliona! haya mambo yanaua matumaii ya watanzania waliyokuwa na yo na chadema
0 Reactions
2 Replies
5 Views
Napenda kuwasanua vijana na madini haya Mikoa ya shinyanga na wilaya zake pamoja na tabora na wilaya zake baadhi pia umeanza uvunaji wa mpunga tokea mwezi wa4 mwanzoni mpak kuendlea!! Manunuzi...
8 Reactions
43 Replies
1K Views
Poleni na kazi wakuu,mimi kijana nahitaji kupata bajaji ya mkataba,...kwa yeyote anamiliki au anataka kufanya biashara ya bajaji bhasi mimi niko tayari. Napatikana Dar..kwa mawasiliano zaidi...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Habari wanajf, DED Manyoni uwe na utu Kwa watumishi walio Chini yako haswa ukizingatia afya ndiyo msingi wa rasilimali watu, Kipi kinakufanya kushindwa kumruhusu mtumishi wako Kada ya Uchumi...
0 Reactions
2 Replies
20 Views
Niliwahi kutahadharisha miaka takriban minne iliyopita kuwa, siku za petrol and dizel zinakwisha na hivyo tufikirie vizuri zaidi kuhusu miradi mikubwa ya petrol and dizel. Nililenga moja kwa moja...
0 Reactions
3 Replies
20 Views

FORUM STATS

Threads
1,860,494
Posts
49,803,862
Back
Top Bottom