Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Inawezekana, kwa upande mmoja vitabu vitakatifu na mapokeo kama msingi mkuu wa mafundisho ya dini vimeibua maswali mengi kwa baadhi ya watu kuhusu Mungu. Na kwa upande mwingine, Ukana Mungu ambao...
11 Reactions
196 Replies
2K Views
Msimu wa Ligi kuu ya NBCPL ulitamatika mwishoni mwa mwezi wa 5, 2024 na Yanga ndiyo alikuwa Bingwa Tuambie mambo gani yalikuvutia zaidi katika msimu huo?
0 Reactions
2 Replies
6 Views
  • Poll
Baada ya kujitunza kwa muda mrefu (mashallah),takribani week 3 zilizopita nikampata kijana mmoja tall, handsome, then black (mungu anajua kumbaa mashallah) baada ya kunitaka kwa kipindi kirefu...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Taarifa kutoka viunga vya CHADEMA zinasema kwa chini chini kwamba Katibu Mkuu Mnyika hataki tena kuendelea na kazi kama Katibu Mkuu wa Chama hicho. Sababu kubwa ni John Mrema kuingilia na...
9 Reactions
116 Replies
2K Views
Kama ulkua Haujui, Basi tambua simu unayomilik inaweza kukutambulisha wew ni Mtu wa Aina Gani Kitabia, Nakusogezea Angalia chama lako 1:Iphone kwa Mwanamke anaonekan HAJATULIA Mambo Mengi, kwa...
2 Reactions
5 Replies
47 Views
Ndugu zangu watanzania, Ajali Mbaya sana imetokea mkoani Mbeya na kuuwa watu na majeruhi zaidi ya 17. Ni ajali Mbaya sana iliyotokea eneo la Nzovwe baada ya Loli kuonekana kufeli breki na...
3 Reactions
16 Replies
117 Views
Habari za mchana marafiki zangu wa Faida njoo UFUNGUKE Ka Kero kanakokupa WAKATI MGUMU katika harakati zako za kila siku Mimi kwakweli Nina KINYAA SANA mwepesi mno kutapika sasa kitu kinachonipa...
4 Reactions
59 Replies
768 Views
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia Dereva aitwaye Said Rajab [35] mkazi wa Dar es Salaam aliyekuwa akiendesha Gari yenye namba za usajili T.422 AKF/T.303 APW Scania Lori mali ya Amani...
1 Reactions
1 Replies
249 Views
Wakuu salama, Natumai MUNGU amewaamsha salama na tuko katika mapambano ya maisha! Kwa wale wagonjwa MUNGU awape wepesi mpone haraka. Wakuu nimekuja kwenu nina shida moja naamini vichwa humu...
9 Reactions
59 Replies
415 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
522K Replies
30M Views

FORUM STATS

Threads
1,860,445
Posts
49,802,344
Back
Top Bottom