Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

  • Suggestion
Awali ya yote, naomba nieleze historia yangu kwa ufupi. Nia na madhumuni niweze kujenga picha ya jumla katika lengo zima la uzi huu. Nilizaliwa katika mkoa wa Mwanza nchini Tanzania, Baba yangu...
5 Reactions
21 Replies
194 Views
Hapa nazungumzia wafanya biashara sio wale wezi wa pesa za wananchi, changamoto inakuja kutafuta mtaji labda umepata milion 5-10, either umekopa au umepewa, changamoto ya kwanza ni kutafuta frame...
13 Reactions
42 Replies
551 Views
Unaweza kulala kitandani, ukamuona mtoto anang’aa, shape imejilaza ila hata kumgusa unashindwa, au hutamani kwa maudhi anayokupa. Yani utaambulia sifa za watu tu kua mke wako mzuri ila wewe...
29 Reactions
75 Replies
2K Views
MANGE FUNDIKA HAPA, ACHA UMBUMBUMBU. CAG RIPOTI, MWENDOKASI, TOTO AFYA KADI NA AJIRA. Na, Suphian Juma Nkuwi Mange Kimambi baada ya kuonesha mdhaifu na mwoga kwa kukimbia mjadala nami kwa...
0 Reactions
11 Replies
288 Views
Majiria ya saa saba na dakika ishirini na moja hivi (7:21) leo tarehe 5 June 2024 limepita tetemeko dogo la ardhi hapa Moshi vijijijji maeneo ya Kilema (haijajulikana maeneo mengine). Mtikiso...
3 Reactions
17 Replies
300 Views
Orodha ya baadhi ya waliowahi kuwa wanachama wa CHADEMA, Hawa wote siku wanahama CHADEMA walisema Tatizo la CHADEMA ni mwenyekiti Mbowe, Hizi ni baadhi ya " Quotes " zao 1. Zitto Zuberi...
7 Reactions
106 Replies
2K Views
Kwema wakuu kuna kitu kinanitesa sana ni kuhusu muonekano wangu Mimi sio mrefu kama wanawake wanavyopenda wanaume warefu nina 168cm ila kusema ukweli nina Muonekano mzuri saana yaani mm...
1 Reactions
16 Replies
131 Views
Good evening members. Njia gani bora ya kuishi katika maisha ya ndoa ya mitala bila pressure na amani. Njemba ina pesa nyumba sio shida lakini haiwezi mke mmoja na inahudhuria kwenye small house...
1 Reactions
17 Replies
93 Views
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba viongozi wapya waliochaguliwa hivi karibuni Kanda ya Nyasa, Wameanza Kazi Rasmi leo. Wamefika kwenye ofisi za Kanda ya Nyasa na kuanza kazi mara moja, Vigogo...
1 Reactions
1 Replies
2 Views
Habari wana JamiiForums, napenda kuiomba Serikali kufuatilia kero na kelele inayosumbua sana maeneo ya (Kahama/Lugera/Mnazi mmoja). Kumekuwa na makanisa mengi maeneo hayo, lakini kuna kanisa...
5 Reactions
19 Replies
157 Views

FORUM STATS

Threads
1,860,490
Posts
49,803,761
Back
Top Bottom