Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Good evening members. Njia gani bora ya kuishi katika maisha ya ndoa ya mtaala bila pressure na amani. Njemba ina pesa nyumba sio shida lakini haiwezi mke mmoja. Hebu tupeane maujuzi.
1 Reactions
2 Replies
3 Views
"If the owners of the natural resources go around begging, then you should know there's something wrong with their minds”
35 Reactions
127 Replies
2K Views
Saa chache tangu Mwanachama wa JamiiForums.com alipolalamikia juu ya mchakato wa ubomoaji wa jengo la zamani la DDC Kariakoo, akidai unafanyika kiholela bila kuzingantia hatua za kiusalama, hatua...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kuna Kungwi mmoja ametushauri wanaume eti tunapo gegenda tuwe tunatoa japo miguno, kwasababu inawaamsha sana wadada. Sasa kwenye hizi Nyumba za kupanga itakuwaje? Akina dada hebu watuambie...
1 Reactions
5 Replies
90 Views
Unaweza kulala kitandani, ukamuona mtoto anang’aa, shape imejilaza ila hata kumgusa unashindwa, au hutamani kwa maudhi anayokupa. Yani utaambulia sifa za watu tu kua mke wako mzuri ila wewe...
28 Reactions
70 Replies
2K Views
- Shambulizi la kigaidi mji wa Macomia mwezi jana. - Oparesheni ya SADC na jeshi la Rwanda. - Interest ya Kagame katika vita za wengine. Wa kwanza kufika hapa Msumbiji ni jeshi la Rwanda. Kwa...
49 Reactions
184 Replies
5K Views
Ni mtifuano mkali Ukurasani X Kati ya Mchungaji Msigwa na Chawa wa Mbowe Martin Maranja. Mashambuliano hayo, kebehi, kejeli na kudharauliana kunaonyesha jinsi CHADEMA ilivyosheheni wahuni...
22 Reactions
198 Replies
5K Views
Hapa nazungumzia wafanya biashara sio wale wezi wa pesa za wananchi, changamoto inakuja kutafuta mtaji labda umepata milion 5-10, either umekopa au umepewa, changamoto ya kwanza ni kutafuta frame...
11 Reactions
36 Replies
463 Views
Wanajamvi, Nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nini kinachoendelea?
44 Reactions
52K Replies
3M Views
Poleni na majukumu mbalimbali ndugu zangu, Bila kuwapotezea muda,napenda kutoa ushuhuda juu ya umuhimu wa maji ya kunywa kama tiba katika kutibu tatizo la Vidonda vya tumbo na Bawasiri...
6 Reactions
12 Replies
185 Views

FORUM STATS

Threads
1,860,482
Posts
49,803,540
Back
Top Bottom