Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kama kuna Lugha ambayo si tu kwamba ni Tamu ila pia Ninaipenda na inaelezea Utanzania wangu halisi ni ya Kiswahili.
2 Reactions
5 Replies
90 Views
Na nawaambieni mapema kama ambavyo ANC huko Afrika Kusini ilivyopoteza Viti vingi vya Ubunge na hawaamini ndivyo ambavyo itakuwa hivyo hivyo kwa CCM hapo Mwakani kwa Kupoteza Viti vingi vya Ubunge...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Wadau hamjamboni nyote? Nimekuja na mada kama ifuatavyo Mabaraza ya Makadinali wa Kanisa Katoliki kwenye Mtaguso wa Roma (382) na Trento (1546) walisimamia mchakato wa kuchambua, kupangilia...
4 Reactions
26 Replies
316 Views
Kwenye huu mkutano uliofanyika Korea kuna Wakorea 4 tu kwenye chumba cha Mkutano. Lakini idadi ya Watanzania ambao ni wageni wako karibu 30. Sasa hapa sielewi IQ za watu wetu ni ndogo sana kiasi...
66 Reactions
272 Replies
7K Views
Wazee kwani ni nani anawashauri viongozi Wa Afrika.!? Embu fikirieni Rais anapanda ndege na Cabinet yake... Naposema Cabinet simaanishi baraza la Mawaziri ..namaanisha wale anaohisi waende nae...
7 Reactions
25 Replies
158 Views
Tatizo ni kwamba wasomali hawapendi kuwekwa kundi moja na waafika licha ya kuwa ni waafrika, wao hujiona waarabu lakini wanawaona ni waafrika, kiufupi wao hawana strong bond na waafrika wengine...
5 Reactions
40 Replies
1K Views
Rushwa ya ngono imetajwa kama kikwazo kikubwa kwa Wanafunzi wa kike wanaokwenda kuomba kufanya field katika Ofisi mbalimbali Nchini Tanzania ambapo kero hiyo imeibuliwa na Mwanafunzi wa Chuo cha...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Sehemu ya hotuba ya Rais Kikwete inayothibitisha kuwa hana mawazo ya kuinua hali ya maisha ya watanzania bila ya kukinga mikono kwa nchi matajiri; asilimia 99 ya mambo anayotaka nchi matajiri...
1 Reactions
212 Replies
21K Views
Hayo ni maoni ya jaji mstaafu. Jaji anasema kwenye uwekezaji kuna mambo ya ajabu yanaendelea na watu wenye akili wameamua kukaa kimya tu. Jaji anasema rasilimali sasa zinagawiwa kwa mikataba...
26 Reactions
117 Replies
3K Views
Nina 800k kama akiba imekaa TU, Kodi ya pango ninapoishi nimelipa, chakula ndani nimenunua Sasa wakuu nimebaki na hii 800k nahitaji kuizalisha nifanye Nini kwa hiki kidogo nilicho nacho...
2 Reactions
5 Replies
57 Views

FORUM STATS

Threads
1,860,312
Posts
49,798,369
Back
Top Bottom