Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hivi ni lini zoezi la uandikishaji wa daftari la kudumu la mpiga kura unaanza. Nahitaji kupata kitambulisho cha mpiga kura kabla sijaondoka nchini
8 Reactions
40 Replies
1K Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
521K Replies
30M Views
Wakuu mko salama? Imewahi kutokea mara kadhaa mtu anachukuliwa na watu wanaojitambulisha kama polisi mwisho wa siku anaokotwa sehemu amekufa, wananchi wakisema waliomchukua ni polisi wanagoma...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Wazee, mwenye lonja ya lini wajuba wanatoa majina/kupiga simu ya watakaoitwa kwenye usaili awajuze wadau, watu alili zao hazitaki kufanya kazi nyingine zaidi ya kuwaza Depo tu. NB: Depo ya...
9 Reactions
291 Replies
35K Views
Bahati mbaya Anakopa Pesa nyingi sana halafu zinaishia Mikononi mwake na familia yake pamoja na Mawaziri hazifiki kwenye target husika Mama akiondoka madarakani kuna vita itapiganiwa hii nchi...
26 Reactions
84 Replies
2K Views
Kutokana na ukomavu wa Rais Samia Suluhu Hassan na chama chake CCM kidemojrasia, taarifa kutoka Lumumba zinasema Samia ameruhusu yeyote anayetaka kuchuana naye kuwania Urais 2025 kupitia CCM...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Jina kamili: Mamelodi Sundowns Football Club Nicknames: Masandawana /The Brazilians. Nchi: Afrika Kusini. Ngazi ya ligi: Ligi kuu ya Afrika kusini (PSL/DstvPremiership) Kuanzishwa: 1970...
16 Reactions
131 Replies
4K Views
Kwenye huu mkutano uliofanyika Korea kuna Wakorea 4 tu kwenye chumba cha Mkutano. Lakini idadi ya Watanzania ambao ni wageni wako karibu 30. Sasa hapa sielewi IQ za watu wetu ni ndogo sana kiasi...
32 Reactions
79 Replies
2K Views
Naombeni msaada wa mimi mwenyewe. Ni kwamba nimemaliza kidato cha nne mwaka jana na nimepata division 2 ya 21. Nataka kwenda chuo ila mzazi wangu ananilazimisha Nifanyaje sasa ili niweze kwenda...
2 Reactions
7 Replies
41 Views

FORUM STATS

Threads
1,860,046
Posts
49,791,951
Back
Top Bottom