Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wadada wa Mama Maria umejaa neema mmeukosha mtima wangu, katika maisha yangu nimebahatika ku-date na wadada kadhaa wa kikatoliki, aisee wanajua kupenda, wanajua kupenda mno, haswa awe Church girl...
0 Reactions
14 Replies
65 Views
Hii trend sasa ni rasmi katika miji yote. 99% ya migahawa au cafe au vyovyote vile utakavyoiita, kwa nje lazima waweke na banda la chipsi. Na 90% ya wateja utawakuta wanakula chipsi. Na wakila...
7 Reactions
47 Replies
827 Views
Ni mara nyingi utasikia mtu mwenye zaidi ya miaka 35 anajiita kijana. Wengine wana miaka 45 na zaidi hasa wanasiasa lakini wana jiita vijana. Mnaonaje hili wakuu ni kwamba Ujana una makundi...
8 Reactions
152 Replies
2K Views
Bado sijajua kwanini Kanda ya Nyasa inafuatiliwa namna hii, Wakati Kanda zinazofanya uchaguzi ni nyingi tu Bali hali ya Mji wa Makambako ndio kama mnavyoona Kama unataka matokeo ya Uchaguzi...
5 Reactions
22 Replies
124 Views
Miezi kama mitatu iliyopita tuliungwa kwenye vifurushi vya Vodacom SME ambapo tukawa tunapata unafuu kwenye bando. Leo wameondoa bando hilo kimya kimya ukipiga menu hulikuti. Vodacom mnapoteza...
3 Reactions
7 Replies
417 Views
Habari wana JF, karibuni mjipatie zana bora za kilimo ; trekta aina ya mahindra ni trekta bora yenye usanifu mkubwa katika nchi yetu ya tanzania. Karibuni kwa maswali na maelekezo juu ya namna ya...
0 Reactions
5 Replies
53 Views
Mchawi hawezi kukaa sehemu moja na mtu wa Mungu. Makonda ni mtu wa Mungu ni mtu wa haki. Wachawi hawawezi kumkubali hata siku moja. Shida inaanzia hapo.
3 Reactions
14 Replies
75 Views
Naona Teuzi za Leo kwenye mambo ya Mipango zimesheheni Wazee Mabalozi Wasomi wa Zamani siyo hawa wa Extended High school Sasa kwa Dunia hii ya Artificial intelligence sijui Upepo utawaendeaje...
6 Reactions
22 Replies
552 Views
Habari wakuu, nilisave picha zangu kwenye locked folder la google photo, cha ajabu lile folder limefutika na halina picha hata moja Je kuna uwezekano wa kuzipata ?
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Tofauti na binadamu kuna wanyama wengine wanapiga Mgalala Hawa ni wanyama 9 wanaopiga Mgalala 1. sokwe 2. tembo 3. Popo 4. konokono 5. nyangumi 6. walarasi 7. panya 8. mjusi 9. Ngwini Na...
1 Reactions
1 Replies
2 Views

FORUM STATS

Threads
1,858,390
Posts
49,744,866
Back
Top Bottom