Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nakuombea upone haraka urudi kwenye afya njema Pole sanaa, haupo peke yako nipo na wewe kwenye kila hatua Wakati wote umekua ukinijali mimi, ni wakati wangu kukuonyesha nakujali pia Upone haraka...
17 Reactions
195 Replies
2K Views
Mkono mtupu haulambwi! Naam, ndivyo ninavyoweza kulielezea hili. Wikiendi iliyopita Rais alijumuika kwenye uzinduzi wa albam ya msanii wa kizazi kipya Harmonize akiwa kama mgeni rasmi pamoja na...
7 Reactions
78 Replies
1K Views
Bado sijajua kwanini Kanda ya Nyasa inafuatiliwa namna hii, Wakati Kanda zinazofanya uchaguzi ni nyingi tu Bali hali ya Mji wa Makambako ndio kama mnavyoona Kama unataka matokeo ya Uchaguzi...
6 Reactions
29 Replies
236 Views
Kinachoendelea Gaza kimetoa picha kwa kila mwenye ubinadamu kuwa nchi inayoitwa Israel ni taifa la watu ambao ni wasahenzi sana.Hawasikii nasaha za binadamu wala kutii amri za mahakama. Baada ya...
5 Reactions
76 Replies
2K Views
Ni mara nyingi utasikia mtu mwenye zaidi ya miaka 35 anajiita kijana. Wengine wana miaka 45 na zaidi hasa wanasiasa lakini wana jiita vijana. Mnaonaje hili wakuu ni kwamba Ujana una makundi...
8 Reactions
155 Replies
2K Views
Habari Ndugu zangu! Nimetafuta ujauzito kwa muda mrefu bila ya mafanikio! Nimekutana na Daktari kaniambia Nina PCOS kwenye ovary mbili zote! Amenipatia metrofromin na kaniambia tu nifanye...
1 Reactions
4 Replies
40 Views
Kwa mujibu wa Ayo TV Sugu amepata 51% na kumbwaga mchungaji Msigwa aliyepata 49% Mlale Unono 😄😄🔥🌹
2 Reactions
7 Replies
32 Views
IBILISI RUDISHA FAHAMU ZETU(MIMI NA MKE WANGU). BY ISSAI SINGANO . (Singano jr). DIBAJI Saa saba mchana Frida alionekana akiingiza gari ndani ya hospitali na taasisi ya kitafiti ya Neuroscience...
4 Reactions
253 Replies
59K Views
Wadada wa Mama Maria umejaa neema mmeukosha mtima wangu, katika maisha yangu nimebahatika ku-date na wadada kadhaa wa kikatoliki, aisee wanajua kupenda, wanajua kupenda mno, haswa awe Church girl...
1 Reactions
25 Replies
161 Views
Kila mtu anafahamu kwamaba konda aliwafanyia mabaya sana watu kipindi cha dubwana lile. Aliua, alitesa, alifinya watu mpaka akasababisha ruge akafa kwa presha baada ya kuvamia clouds na mitutu ya...
3 Reactions
26 Replies
277 Views

FORUM STATS

Threads
1,858,394
Posts
49,744,994
Back
Top Bottom