Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Jeshi la Africa kusini linategemea kufunga virago msumbiji ambako vikosi vya SADC vikiongozwa na South Africa vilikua vikipambana na Kundi la kigaidi la kiislam Msumbiji. Hii ni kutokana na siasa...
10 Reactions
73 Replies
2K Views
Tunaona taarifa na mjadala kuhusu ajali ya helkopta inayodaiwa ilimbeba Rais wa Iran. Ikumbukwe siku chache Iran ilivamia Israel kwa makombora /ndege zisizo na rubani na Israel waliahidi kulipiza...
14 Reactions
176 Replies
6K Views
Shunie Extrovert Jimena FRANC THE GREAT The 13 Mnazareth Daudi Mchambuzi Dinazarde Carleen Wangari Maathai Mshana Jr
26 Reactions
7K Replies
134K Views
Kwa mnaomjua Penina ana grocery hapo Goba Center pembeni ya baa ya Trinnidad kauawa na mpenzi wake usiku wa saa tisa hapo hapo grocery kwake. Wanawake kuweni sana makini this time watu...
33 Reactions
772 Replies
30K Views
Ni mume wangu tuna watoto Huyu baba kazidi umaraya jaman mpaka nakaa nae kirafiki namuuliza tatizo nini? Kama haridhiki na mimi nimemruhusu aoe mke mwingine ampangashie mbali na mimi kwangu aje...
15 Reactions
77 Replies
1K Views
wakuu habar zenu? teknolojia ya eSim imetukomboa sisi ambao tunamiliki line zaid ya moja za mitandao tofauti, hii teknolojia nimeipa maua yake aisee, zaman nilikua nahangaika na kubadilisha line...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Bora tu imetokea kwa Mkenya! Ingelikuwa ni Mtanzania angekiona cha moto kwa mashambulizi ambayo angeyapata mitandaoni😄😄😄 Kiingereza si tatizo kwa wasomi wa Kenya, Rais Ruto akiwemo. Lakini awamu...
16 Reactions
59 Replies
1K Views
Naitwa Bichwa Komwe. Mimi ni mtoto pekee katika familia ya Kitajiri. Baba yangu alikuwa muajiriwa katika kampuni ya wazungu, na alifanikiwa kuchuma fedha na mali nyingi. Mama yangu ni msomi na...
6 Reactions
27 Replies
54 Views
Kabla mzee jakaya ajawa raisi alikuwa na mtoto sema jina limenitoka na kipindi cha watoto pale wilaya kino na maeneo ya makongo watamfahamu huyu. Huyu mwamba miaka ile uwezi kujua kama alikuwa...
1 Reactions
6 Replies
328 Views
Ushoga hauna dini ila sasa mashoga wameingia kwenye dini Siku za mwisho ni wakati mashoga wanapogonga hodi kwenye milango ya dini. Pale Sodoma, mashoga walipovamia nyumba ya Lutu mtumishi wa...
1 Reactions
5 Replies
222 Views

FORUM STATS

Threads
1,856,806
Posts
49,699,908
Back
Top Bottom