Wakuu kwema?
Kichwa cha habari hapo juu kinajieleza.
Mimi nimeoa, mke mzuri na mrembo hasa. Ila cha kushangaza, ktk kipindi cha miezi miwili hivi, nimejikuta natamani sana pisi za pembeni, hata...
On point, miaka ya hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la vijana waliohitimu mafunzo ya kijeshi na kukosa ajira, hivi ikitokea Hawa vijana wamebadili mawazo au wameshawishiwa na kikundi Cha...
Kumekuwa na tuhuma kuhusu kuhusishwa na ufisadi wa zaidi ya Tsh milioni 450 zilizotolewa na Serikali, Christian Social Service Commission ( CSSC) na wadau wengine kwa lengo la kufadhili marejeo...
Kwenye maisha kuna muda wanaume tunapendwa na wanawake tusio wapenda kwa mfano kwangu mimi niliwaigi kupendwa na mwanamke nisiye mpenda kiasi kwamba hadi aliniomba namba za simu ili tuwe...
Maraisi wastaafu wa USA wanafungua maktaba tena kwa kuchangiwa wa watu. Wapendwa wetu maraisi wazalendo eti wanataka kujengewa nyumba kama Ikulu na wenza wao kulipwa. Hawajali hali ya wananchi...
Ni hivi ndugu zangu nipo kuwakumbusha kuwa hakuna mwizi wa gari akaiba gari na kuliendesha kistaarabu kiasi kwamba hata ukija kulikuta utakuta kama ulivyo liacha.
Ni hi atakanyaga mafuta hadi...
Wakuu,
Nina hili tatizo muda mrefu hata nijiloweke kwene jiki bado ngoma iko pale pale.
Nashukuru Mungu ni mwanaume ningekua Mwanamke nadhan ningeteseka zaidi.
vitu ninavoogea
1. Deto ya maji...
ANAANDIKA BICHWA KOMWE:-
Hizi shule zinazoitwa "international schools" zinafundisha nini cha ziada sana ambacho hakimo penginepo?
Ni kweli, shule zina mazingira mazuri na yanayofurahisha, lakini...
Kwa umoja wetu, Tukiamini sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, Na kamwe watawala hawajawahi kuishinda nguvu ya umoja wa umma ambao ndiyo sisi watanzania, Tuungane kukemea, Kupinga na kuchukua hatua...
Mimi labda ninatatizo ila kiukweli AY sijawahi kumuelewa kabisa. Tangu nimeanza kumsikiliza wayback hajawahi kutoa ngoma nikaielewa kabisa. Labda ile Yuleee, nampenda sana jinsi alivyooo.... nayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.