Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kupitia hiyo video aliyopost kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram Diddy anasema amekubali na anawajibika 100% kwa kitendo hiko alichokifanya na kitendo kilichoonekana kwenye video hiyo kamwe...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Nadhani naingia kwenye msongo wa mawazo, nahitaji neno la faraja kwenu wa TANZANIA wenzangu, ndugu, kaka, dada, mama na baba zangu. Wakuu juzi, niliwashirikisha juu ya dhiki ya njaa Inavyotaka...
1 Reactions
18 Replies
97 Views
Kama Kuna illegal issue yoyote nipo tayar kwa lolote, nipo tayar ku take risk kwa ajiri ya maisha yangu na familia yangu, najua mnaweza shidwa kunielewa. Yes nataman kukata mizizi hii ya mateso...
1 Reactions
11 Replies
62 Views
1. Kunyamaza wakati fulani maishani mwako siyo kipawa bali ni nidhamu (1 Wathesalonike 4: 11). 2. Nyamaza unapohisi hasira (Mithali 14:17). 3. Nyamaza unapokuwa huna taarifa ya kutosha au...
28 Reactions
59 Replies
647 Views
Nadhani kwa sasa Dunia imesimama na majasusi wote Dunia wameamia Iran kunakotukio lakutisha. Baada ya mvumo na bishindo vingi sasa wenye Dunia yao wameamua kufanya yao pasipo kuwepo ushahidi...
1 Reactions
19 Replies
942 Views
Jamani kuna taratibu gani za kufuata kisheria iwapo umebakiwa mtoto asiye wako ukahudumia kuanzia mimba mpaka mtoto kuzaliwa ukaendelea kuhudumia halafu baadae ukaambiwa mtoto siyo wako. Je, kuna...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Dr Hussein Mwinyi mhitimu wa Degree ya uzamivu inayohusiana na mwili wa binadamu ni physician mbobezi kabisa ni mtu makini anayejituma mpenda haki, mtulivu asiye na makundi anachojua ni...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
517K Replies
30M Views
Imethibitishwa kuwa raisi wa Iran alikuwa ndani ya helicopter hiyo iliyopata ajali. Vikosi vya uokoaji vimeshindwa kutambua na kufika neo husika ilipotokea ajali hiyo kwa sababu ya hali mbaya ya...
19 Reactions
627 Replies
16K Views
Mlimbwende kunako kiwanda cha Utangazaji, Mjasiriamali na mwanamitandao maarufu Bongo, Niffer Jovin, maarufu kama "Niffer" amefunguka namna alivyohaha kujitafuta hadi kufikia mafanikio makubwa...
31 Reactions
560 Replies
40K Views

FORUM STATS

Threads
1,855,286
Posts
49,657,214
Back
Top Bottom