Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kwa mujibu wa Mtaalam wa Afya ( Daktari ) na Mwanasaikolojia aliyekuwa akizungumza Channel Ten ( ipo YouTube ) kwa wala Matomaso ( Wasiotaka ) Kuamini wakajiridhishe ni kwamba amesema kuwa Dunia...
15 Reactions
51 Replies
873 Views
Kuna video ya CCTV imesambaa wiki hii ya mwaka 2016 ambapo Sean Combs Diddy a.k.a Msomali anaonekana akimtandika malaya Cassie kama mbwa mwizi hotel aliyokuwa anammega. Iko hivi wakuu na hili...
2 Reactions
5 Replies
62 Views
Naomba leo anayejua anieleweshe hapa, kwa nia nzuri kabisa. Yesu alisema tuombe kwa kupitia Jina lake, inakuwaje watu wanaomba kupitia maria? naangalia tumaini tv hapa padre akasema tuombe kwa...
6 Reactions
39 Replies
361 Views
Ushawahi kusikia kauli kama hii kutoka kwa mwanamke? Ukweli ni kwamba ambae anakua tayari kwa kuoa ni mwanaume ambae ataenda kubeba jukumu la kutoa security katika familia, kwa maana iyo mwanaume...
5 Reactions
12 Replies
140 Views
Kwa wiki iliyopita mitandaoni hasa Instagram na Twitter kuliibuka mjadala mkali ikiwemo vita ya maneno miongoni mwa wafanyabiashara wa mjini Dar es Salaam. Baadhi ya wafanyabiashara walimtupia...
17 Reactions
75 Replies
4K Views
Denis Mpagaze ______________ 1. Mungu aliumba mto lakini hakuumba daraja la kuvukia kwenda ng'ambo; 2. Mungu aliumba anga lakini hakuumba ndege ya kutufikisha angani; 3. Mungu aliumba nchi...
4 Reactions
10 Replies
192 Views
Skendo inayomuandama msanii maarufu wa miondoko ya HipHop wa nchini Marekani, Puff Daddy a.k. P Didy, inazidi kupamba moto baada ya CNN kupandisha mitandaoni video inayomuonesha akimpiga vibaya...
11 Reactions
151 Replies
4K Views
  • Article
Hivi karibuni kumezuka sinto fahamu kwamba msongo wa mawazo husababisha matatizo ya kupungukiwa na nywele (uwaraza), je ni kweli?
2 Reactions
9 Replies
69 Views
Kuna malalamiko hasa upande wetu sisi wanaume juu ya tabia moja ya kuomba hela inayofanywa na wanawake. Tabia hii imepewa jina "Kuomba hela" sababu ndicho kitendo kikuu hapo hakuna jambo lingine...
9 Reactions
44 Replies
594 Views
Mara nyingi tunajiona tuko salama, tunafikiri mabadiliko, kanuni, sheria za kigandamizi zinazofanywa na watawala hazituhusu sisi hasa hawa watumishi wa uma; watu wa magereza, wanajeshi, maaskari...
22 Reactions
138 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,854,882
Posts
49,643,636
Back
Top Bottom