Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

TBC punguzeni taarab na muache kuzunguka mbuyu. Tundu Lissu ameudiss muungano na mama Samia kwa ujumla badala ya kumwambia Lissu usoni mmekuwa kila dakika mnaweka video ya mwalimu Nyerere...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Mtu unamuheshimu Kabisaaa lakini anatembea na mke wa mtu na anajua ni mke wa mtu. Hivi unajisikiaje kuwa sehemu ya migogoro katika ndoa ya mwanaume mwenzako?,sawa...
17 Reactions
62 Replies
1K Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
516K Replies
30M Views
Katika harakati za mitandaoni, unajikuta umemwelewa mdada/mwanamke hapa JF. Humjui sura, umbo, wala tabia yake ila moyo unamkubali tuu. Unajiuliza nini hiki sasa. Sio mbaya kujaribu pengine ikawa...
7 Reactions
29 Replies
131 Views
Sasa siwezi hata ongea nikisema neno nalia.
30 Reactions
274 Replies
5K Views
Mchina ana kazi nzito haswa dhidi ya marekani. Hapa ni Biden amepitisha furushi hili. I just imposed a series of tariffs on goods made in China: 25% on steel and aluminum, 50% on...
11 Reactions
130 Replies
3K Views
Bado changamoto nyingi tulizonazo zinasababishwa na watawala na serikali zetu za kiafrika. Kwa Akili ya kawaida na viongozi wenye Akili timamu hawawezi kulazimisha kila Bus dogo linaloenda kwa...
3 Reactions
13 Replies
346 Views
Mbunge wa Konde (ACT Wazalendo), Mohamed Said Issa amesema siku yoyote anaweza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hivyo vyombo vya ulinzi na usalama vidhibiti ubaguzi dhidi ya Wanzibari...
0 Reactions
8 Replies
202 Views
Ni yule aliyekuwa zezeta wa Mercy once again. Ilikuwa mwaka 2016 kuna dem flan wa kitusi walikuwa wamehamia kijijini kwetu wakitokea huko walikotoka. Sasa bahna huyo Binti ni mrefu mwembamba...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Habari kwa wanaJamiiForums wote! Naomba niende moja kwa moja kwenye mada, siku ya jana baada ya kuifungua account yangu ya whatsApp niliendelea na mambo yangu ya kawaida (ku-chat na kuangalia...
3 Reactions
11 Replies
21 Views

FORUM STATS

Threads
1,854,095
Posts
49,622,531
Back
Top Bottom