Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Rais Biden wa USA amesema Nchi yake inapinga amri ya ICC ya kuwakamata Waziri mkuu wa Israel mh Benjamin Netanyahu na Waziri wake Gallant Biden amesema ni makosa makubwa kuwaweka Israel kwenye...
8 Reactions
70 Replies
908 Views
A
Mimi ni Mtanzania ninayeishi Marekani, kuna Mtanzania mwenzetu mbaye alikuja kama Mwanafunzi hapa, sijui vizuri kuhusu historia yake huko nyuma. Miaka kadhaa iliyopita alipata changamoto ya Afya...
62 Reactions
255 Replies
7K Views
Bila shaka wengi wetu tunajua huyu mdada alifiwa na mume wake wa kwanza. Baadae akatokea ustaadhi mmoja hapa chuga akamsilimisha na kumfanya mkewe. Baada ya muda dogo akadoda wakachana akawa...
6 Reactions
67 Replies
656 Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nimeishi na mke wangu zaidi ya miaka 30, lakini nilihisi ana bwana wa pembeni, nikaanza kufanya uchunguzi, kweli nikafuma baadhi ya msg , ambaxo kwa tabia...
18 Reactions
155 Replies
4K Views
Kuna baadhi yetu hatujui ni wakati gani na mazingira gani tutumie loud speaker katika rununu zetu, kwakuwa ipo hiyo option basi wewe unatumia tu. Kuwa muangalifu sana unapotumia loud speaker...
3 Reactions
22 Replies
289 Views
Mahakama ya uhalifu wa kivita yenye makao yake makuu The Hague nchini Uholanzi imetoa hati ya kukamatwa kwa waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na waziri wake wa usalama Yoav Gallant kwa...
3 Reactions
7 Replies
149 Views
Kiufupi anasema UDSM ni kama Sekondari ya Kata, hakina hadhi ya Chuo Kikuu tena maana kimehama kutoka kwenye tafiti na mijadala na kuwa extended school 😂😂 Naunga mkono hoja ya ulimwengu.
20 Reactions
60 Replies
6K Views
Evidence Is Now emerging Indicating the Iran Presidential Helicopter Crash WAS an Assassination MAY 20, 2024 The crash of the Iran Presidential Helicopter is starting to appear to be a...
7 Reactions
51 Replies
981 Views
Mwanaume upo kwenye mtoko na mwanamke wako, mwanamke wako kavaa nguo inaonesha hadi vitu vya sirini, mwanaume unakenua jino tu ukiwa umeshikamana na mwanamke wako hadharani. Mnapiga na picha na...
17 Reactions
160 Replies
3K Views
Taarifa hii iwafikie wabishi wote popote walipo, kwamba, ndani ya Tanzania kuna viwanda vya magari 13 Waziri wa Viwanda Dkt Kijaji amethibitisha
3 Reactions
5 Replies
6 Views

FORUM STATS

Threads
1,855,678
Posts
49,669,299
Back
Top Bottom