Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wakuu Nina hili tatizo muda mrefu…. hata nijiloweke kwene jiki bado ngoma iko pale pale. Nashukuru mungu ni mwanaume ningekua demu nadhan ningeteseka. vitu ninavoogea 1.Deto ya maji 2.Sabuni ya...
1 Reactions
5 Replies
6 Views
Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu leo 17/05/2024 amekabidhiwa lile gari lake alilokuwemo siku mawakala wa Shetani walipoamua kumuua baada ya kushindwa...
15 Reactions
63 Replies
937 Views
Saa 10:00 jioni, Dodoma Jiji watakuwa nyumbani dimba la Jamhuri wakiwakaribisha Simba SC Ni mnyama ama walima zabibu nani kuondoka na alama tatu? Mchezo huu utaruka mbashara hapa JamiiForums...
2 Reactions
70 Replies
1K Views
Juzi niliweka post nikimuelezea kwa ufupi Mtakatifu Maria Theresa. wa CALCUTTA .....maoni mengi niliyoyasoma yalikuwa yakisema ILI UWE MTAKATIFU au UPATE CHEO KIKUBWA KATIKA KANISA KATOLIKI BASI...
3 Reactions
5 Replies
97 Views
Daaaaahh, so sad ! Mtu unamnyima mshahara kwa miezi 2 ili afe njaa? Ili afedheheke katika jamii? Nakiri kuwa kwa upande wangu nilitimiza majukumu yangu ya kila siku na kutokumalizia kipengele...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Kwenye maisha kuna muda wanaume tunapendwa na wanawake tusio wapenda kwa mfano kwangu mimi niliwaigi kupendwa na mwanamke nisiye mpenda kiasi kwamba hadi aliniomba namba za simu ili tuwe...
1 Reactions
1 Replies
8 Views
Kuna malalamiko hasa upande wetu sisi wanaume juu ya tabia moja ya kuomba hela inayofanywa na wanawake. Tabia hii imepewa jina "Kuomba hela" sababu ndicho kitendo kikuu hapo hakuna jambo lingine...
5 Reactions
11 Replies
131 Views
Mbunge wa Singida Mashariki bwana Elibariki Kingu ameoneshwa kusikitika na Watanzania kutolipa Kodi kama inavyotakiwa wakati huo huo wanadai Maendeleo na kutoa lawama sana. Amesema Chi zote Zenye...
5 Reactions
51 Replies
765 Views
1. Darassa - Muziki 2. Dully sykes - Bongo fleva 3. Chid benz - Dar es salaam stand up
4 Reactions
184 Replies
3K Views
Mara nyingi tunajiona tuko salama, tunafikiri mabadiliko, kanuni, sheria za kigandamizi zinazofanywa na watawala hazituhusu sisi hasa hawa watumishi wa uma; watu wa magereza, wanajeshi, maaskari...
9 Reactions
53 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,854,633
Posts
49,636,675
Back
Top Bottom