Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Rais wa Nchi ya Zanzibar yuko Jijini Arusha kikazi maalumu Mkutano Mkuu wa CRDB. Kama ulivyo utaratibu wa kuwapokea Viongozi wakuu wa nchi mbali mbali,leo mji wa Arusha umetembelewa na Rais wa...
5 Reactions
29 Replies
732 Views
Ni wakati sasa mkurugenzi wa NIDA abadilishwe. Ni wakati wa NIDA ijitegemee yenyewe isipewe fedha na serikali tena Kama NIDA ingepata kiongozi mbunifu ingeingiza mapato mengi sana kama...
0 Reactions
15 Replies
247 Views
Hivi ninyi msio wanasheria, mnajua kama Wanasheria tunaitambua Tanganyika, na hata chama chetu kinaitwa "chama cha wanasheria wa Tanganyika", sio Tanzania. HIi nchi yafaa ashike mwanasheria ili...
5 Reactions
7 Replies
61 Views
Kutoka Ufaransa , Mwenyekiti Samia amefanikiwa kuitambulisha ajenda yake ya kuwasidia Wakinamama wa Afrika kuondokana na matumizi ya Kuni na mkaa(Nishati chafu) Kwa kufanikiwa kupata ahadi za...
5 Reactions
69 Replies
370 Views
Daaaaahh, so sad ! Mtu unamnyima mshahara kwa miezi 2 ili afe njaa? Ili afedheheke katika jamii? Nakiri kuwa kwa upande wangu nilitimiza majukumu yangu ya kila siku na kutokumalizia kipengele...
1 Reactions
8 Replies
9 Views
Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu leo 17/05/2024 amekabidhiwa lile gari lake alilokuwemo siku mawakala wa Shetani walipoamua kumuua baada ya kushindwa...
15 Reactions
67 Replies
937 Views
Wakuu Nina hili tatizo muda mrefu…. hata nijiloweke kwene jiki bado ngoma iko pale pale. Nashukuru mungu ni mwanaume ningekua demu nadhan ningeteseka. vitu ninavoogea 1.Deto ya maji 2.Sabuni ya...
1 Reactions
9 Replies
10 Views
Ni ushauri tu Pale Makumbusho ipo gari ya TANU aliyokuwa anaendesha Babu yangu mzee Kamtawa 😃😃😃 Gari ya Jasiri TAL iwekwe Makumbusho nasi wenye mapenzi Mema tutamchangia anunue gari lingine la...
0 Reactions
2 Replies
9 Views
kitu chenye baraka wengi hukiombea wakipate, kinyume chake watu huomba kiwaepuke kama watoto ni baraka kwanini watu hawaombei kupata watoto wenye usonji, vipofu, bubu, viziwi, vilema wa viungo...
3 Reactions
7 Replies
22 Views
Kuna kasumba imejengeka ambayo inaweka classes za watu kulingana na Mkoa wanakotokea. Mathalani Mikoa ya Business Class (VVIP) ,Hawa Hujiona superclass na kwamba wanastahili attention Dar Arusha...
13 Reactions
115 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,854,633
Posts
49,636,707
Back
Top Bottom