Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Tusanue apps zipi unatumia kwenye simu, Android OS au iOS Ambazo zinakurahishia kwenye nyanja tofauti. Tuambie na namna ya kuzipata. Mfano: Hii unaweza kuipata kwa kuidownload kutumia browser...
2 Reactions
8 Replies
58 Views
Hakuna asiyefahamu kuwa Bara la Asia ndiye tajiri mkubwa wa imani za kidini takribani asilimia 60 ya dini zimetoka katika bara la Asia niwazi kuwa ndiyo bara lenye ustaarabu mdogo kuliko mabara...
0 Reactions
1 Replies
23 Views
Wanajamvi, Leo nimekuja, mwenzenu yamenifika shingoni Nina miaka mitatu tangu nimeingi kwenye uchimbaji wa madini huku Chunya, Mbeya. Nimamiliki karasha, nimeshapoteza zaidi ya milioni 40...
23 Reactions
322 Replies
10K Views
Mtaani kuna mambo sana mimi napenda kula, yanga, kucheza mziki na pombe mara nyingi nikiwa ndani ya vitu hivyo huwa nacheka na kufurahi na kupenda kutania watu huwa ninacheka cheka sana yaani...
4 Reactions
12 Replies
81 Views
Karibuni tuinvest katika soko letu la hisa iwe meridian, iplay8 casino, m-bet, premier betting, skybet, landbrokerz, bet365... n.k...
229 Reactions
401K Replies
32M Views
A
Mimi ni Mtanzania ninayeishi Marekani, kuna Mtanzania mwenzetu mbaye alikuja kama Mwanafunzi hapa, sijui vizuri kuhusu historia yake huko nyuma. Miaka kadhaa iliyopita alipata changamoto ya Afya...
57 Reactions
229 Replies
6K Views
Nina watoto 7 kutoka kwa wanawake wanne wote watoto nawalea kawaida yangu siamini mwanamke kulea mwanangu kwasbb ya kupachika chuki, na ubaguzi ila nilicho dhibitisha kwamba wanangu wote vitabia...
6 Reactions
10 Replies
116 Views
Bila shaka wengi wetu tunajua huyu mdada alifiwa na mume wake wa kwanza. Baadae akatokea ustaadhi mmoja hapa chuga akamsilimisha na kumfanya mkewe. Baada ya muda dogo akadoda wakachana akawa...
4 Reactions
32 Replies
239 Views
Bwana Zunyou alizaliwa huko nchini china mwaka 1963 na baadae alihudumu kama Mtaalamu wa Magonjwa katika kituo cha China cha Magongwa na tiba. Zunyou alihumu kama mkufunzi wa maswala ya magongwa...
1 Reactions
5 Replies
42 Views
Habari za awali za helicopter iliyoanguka ikiwa imembeba Rais wa Iran, Ebrahim Raisi maarafu kama "the butcher of Tehran"/mchinjaji wa Tehran huenda imepokewa kwa furaha kubwa na wahanga waliowahi...
15 Reactions
122 Replies
4K Views

FORUM STATS

Threads
1,855,655
Posts
49,668,594
Back
Top Bottom