Urusi na Marekani zote zinamilija ASAT hizi ni siraha za kuweza kushusha aridhini Satelite zilizoko kwenye Obiti. Hii ni moja ya jambo ambali hakuna mtu anataka litokee.
Vira itakuwa nu ya...
Wakati Tundu Lissu akiwa anaamini mwenyekiti wake Bw Freeman Aikael Mbowe analamba asali toka Kijiji Cha Nyuki kilichopo huko Singida,
Tayari Kuna taarifa za chini chini kuwa asali pia...
Mwisho wa mwaka huu ndio ushafika. Wengine huwa tunapambana mwaka mzima siku za mwisho kama hizi ndio tunapumzika. Wale wa road trips ndio wakati wetu huu kupiga masafa mafupi, marefu na ya Kati...
yanga ilianzishwa mnamo mwaka 1935 na inasemekana ndo klabu kongwe na yenye mafanikio zaidi hapa nchini. klabu hii ilianzishwa na wazalendo halisi wa nchi hii waliokuwa wakiji shughulisha na...
Habari za mchana ndugu zangu wa JF.
Leo nimewaza sana kuhusu demokrasia ya kuchagua au kuchaguliwa katika bara letu zuri la Africa ninalolipenda sana.
Katika muingiliano wa uchanganyaji wa damu...
Habari zenu ndugu zangu?
Ninauza TV mbili za inch 32 Brand Hisense na PS3 moja.
TV moja ni 200,000 nakupa na Wall Bracket pamoja na HDMI Cable.
Ps3 nakuuzia kwa 250,000 ina magemu yote mazuri...
Napigwa bit kwa kuhisi kua nataka kuwasiliana na mama yake mtoto nikiwa na mke wa sasa.. Vipi huko mwenzangu? Imekua kesi, yaani sipati wasaa wa kuongea na dogo kwa sasa ana miaka 4. Toka niachane...
Hii ni tangazo sijui ni kitu gani nimeliona mtandaoni ila linaukakasi sana halifai kwa jamii nimeweka hapa sababu naamini kuna wahusika humu wa kuweza kufuatilia swala hili na wahusika waonywe au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.