Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Urusi na Marekani zote zinamilija ASAT hizi ni siraha za kuweza kushusha aridhini Satelite zilizoko kwenye Obiti. Hii ni moja ya jambo ambali hakuna mtu anataka litokee. Vira itakuwa nu ya...
1 Reactions
6 Replies
317 Views
Wakati Tundu Lissu akiwa anaamini mwenyekiti wake Bw Freeman Aikael Mbowe analamba asali toka Kijiji Cha Nyuki kilichopo huko Singida, Tayari Kuna taarifa za chini chini kuwa asali pia...
3 Reactions
26 Replies
388 Views
Mwisho wa mwaka huu ndio ushafika. Wengine huwa tunapambana mwaka mzima siku za mwisho kama hizi ndio tunapumzika. Wale wa road trips ndio wakati wetu huu kupiga masafa mafupi, marefu na ya Kati...
89 Reactions
22K Replies
1M Views
  • Sticky
yanga ilianzishwa mnamo mwaka 1935 na inasemekana ndo klabu kongwe na yenye mafanikio zaidi hapa nchini. klabu hii ilianzishwa na wazalendo halisi wa nchi hii waliokuwa wakiji shughulisha na...
97 Reactions
24K Replies
2M Views
Habari za mchana ndugu zangu wa JF. Leo nimewaza sana kuhusu demokrasia ya kuchagua au kuchaguliwa katika bara letu zuri la Africa ninalolipenda sana. Katika muingiliano wa uchanganyaji wa damu...
6 Reactions
17 Replies
206 Views
Habari zenu ndugu zangu? Ninauza TV mbili za inch 32 Brand Hisense na PS3 moja. TV moja ni 200,000 nakupa na Wall Bracket pamoja na HDMI Cable. Ps3 nakuuzia kwa 250,000 ina magemu yote mazuri...
1 Reactions
5 Replies
133 Views
Napigwa bit kwa kuhisi kua nataka kuwasiliana na mama yake mtoto nikiwa na mke wa sasa.. Vipi huko mwenzangu? Imekua kesi, yaani sipati wasaa wa kuongea na dogo kwa sasa ana miaka 4. Toka niachane...
7 Reactions
49 Replies
697 Views
1. Darassa - Muziki 2. Dully sykes - Bongo fleva 3. Chid benz - Dar es salaam stand up
4 Reactions
168 Replies
3K Views
Mtoto wa mchungaji Christina shusho 'Odesia Shusho' avishwa Pete ya uchumba.
2 Reactions
43 Replies
957 Views
Hii ni tangazo sijui ni kitu gani nimeliona mtandaoni ila linaukakasi sana halifai kwa jamii nimeweka hapa sababu naamini kuna wahusika humu wa kuweza kufuatilia swala hili na wahusika waonywe au...
0 Reactions
1 Replies
11 Views

FORUM STATS

Threads
1,854,260
Posts
49,626,914
Back
Top Bottom