Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habari wakuu Nikiri Mimi ni muumini wa demokrasia ya vyama vingi na siasa za hoja za ushindani kwani naamini ushindani wowote huletea wananchi maendeleo Ni moja ya watu tunatamani kuona tunakuwa...
8 Reactions
51 Replies
813 Views
Akiwa kwenye kipindi cha Power Breakfast cha Clouds FM leo May 15, Waziri wa teknolojia na habari, Nape Nnauye ameongelea changamoto ya Internet nchini na mipango ya kuliepuka janga kama hili siku...
5 Reactions
80 Replies
2K Views
Hivi mfumo wa kutuma maombi ya ajira jeshi la polisi ni kwangu tuu unasumbua ama na wengine mmekutana na changamoto hii?
0 Reactions
74 Replies
3K Views
Kwa muda wa mwezi mmoja jumla ya wanafunzi wa Shule za Msingi na Sekondari wapatao 194 wamebainika kupewa mimba na kukatishwa masomo yao katika wilaya ya Momba Mkoani Songwe. Hayo yamebainishwa...
1 Reactions
1 Replies
2 Views
Nimesikitishwa sana kwa Ban ya siku 14 niliyopata kizembe kwa kumtukana Popoma. Nikiri halikuwa jambo jema hata kidogo na sitarudia tena hadi pale kutakapojitokeza ulazima wa kufanya hivyo...
1 Reactions
6 Replies
7 Views
Ni mwaka gani yalisemwa hayo maneno? Na msemaji wake ni nani? Je kilichosemwa kilitokea kweli? Na je Msemaji ni mtu mwema kweli?
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Mkasa huu nawaletea ulitokea kipindi cha mwaka 2013 nikiwa nasoma chuoni Arusha (IAA – Institute of accountancy Arusha) , nilikuwa na miaka 22 Miaka hiyo nilikuwa natumia ID nyingine humu JF, JF...
60 Reactions
228 Replies
26K Views
Sasa siwez hata ongea nikisema neno nalia.
17 Reactions
119 Replies
2K Views
Zitto Kabwe amewashangaa wale ambao wanahoji kuhusu Muungano hasa huku Bara akisema hawajui kitu kwani wanaotakiwa kuhoji ni Wazanzibar. Zitto ambae ni mtaalamu wa kujenga hoja Kwa takwimu...
9 Reactions
342 Replies
10K Views
Ghorofa Inauzwa. Eneo: Mtoni Kijichi Ukubwa: Sqm 1250 Nyaraka: Ina Hati Miliki. Ina vyumba vinne(4), master bedrooms 2, sitting room, dining room, kitchen na public toilet. Pia Kuna boycota...
0 Reactions
0 Replies
1 Views

FORUM STATS

Threads
1,854,000
Posts
49,619,765
Back
Top Bottom