Mimi ya kwangu hii hapa
Yaani unaachana na mpenzi wako kisa amekucheat unaanzisha mahusiano na mtu ambaye ametemwa kisa alifumania akicheat na unasema umemove on😂😂😂😂😂😉😉
Bunge la Ukraine limepasisha muswada wa sheria inayoruhusu kukusanywa na kusajiliwa jeshini wafungwa wa nchi hiyo.
Tovuti ya habari ya Russia Today imeripoti habari hiyo na kuongeza kuwa, rasimu...
Wakuu, hii imekaaje?
Ni kwanini wanafunzi wa sekondari hasa kuanzia kidato cha nne, tano na sita wasifundishwe kuwa na mahusiano salama huko mashuleni?
Kuna rafiki yangu na ndugu yangu wa...
Zama hizi, utambulisho mkubwa wa CCM kwa jamii ni UOVU. CCM inaonekana ni chama ambacho kipo kwaajili ya kujenga, kulinda na kuendeleza uovu na waovu:
1. UKOSEFU WA UZALENDO:
Watuhumiwa wote wa...
Aiseeeee habari za leo wazee.........
Huyu jirani yangu ana watoto wawili mmoja yuko darasa la tano mwingine yuko darasa la pili, ni mdada wa makamo shughuli yake kuu ni kupika vitafunwa asubuhi...
Nimemkuta Meya mstaafu wa Ubungo mh Boniface Jacob Kule ukurasani X akisema Yeye alikuwa Mlinzi wa Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe
Imenitafakarisha sana 🐼
Niishie hapo
Jamaa wanatengeneza makubaliano kuwa mwaka 2030 wakati Dr. Lameck Madelu Mwingulu Nchemba anakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, bwana Ally Happi anakuwa Mbunge wa Iramba na anateuliwa...
Habari
Naitaji sales person ( Mzoefu au mwenye uwezo wa kutafuta masoko )
Mashara : 300k ~ 400k kwa mwez kutokana na uwezo na uzoefu wako.
Piga : 0678650509
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.