Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wana jamvi, Kama bado hujawahi kukutana na changamoto ya familia unaweza kudhani watu humu wanaleta stori za kusadikika! Mimi na mke wangu tumeishi naye kwa miaka nane sasa na kwa kipindi hicho...
3 Reactions
32 Replies
265 Views
Toyota Corolla Rumion Color:Maroon 1490 cc Very economical Immaculate Condition Android TV/Audio Alloy Wheels 57,000KM A/C Ipo Dsm Place your offer WhatsApp +255785199755
0 Reactions
0 Replies
1 Views
i watched the 2 games. Makocha wa hizi team wote Awana objective football . Useless in attack . Kama wanashinda watoa nje . Kwa yanga it’s worse than wydad . Yanga amna kitu wanaweza useless...
1 Reactions
21 Replies
827 Views
Mzuka, Nasikiliza Jahazi mda huu lakini sijui hawa jamaa na kipindi chao wanatangaza nini, Mchomvu kweli ni changamoto vitu anavyoongea hadi wenzake wanapata shida.
3 Reactions
9 Replies
126 Views
Wakuu, Tufahamu kwamba Simba ndie mfalme wa nyika, ana uwezo wa kuwinda chochote kile na akafanikiwa hata Kama kinamzidi umbo na Nguvu. Nnachojiuliza, Kwanini huwa hawawindi FARU na kuwatumia...
0 Reactions
9 Replies
85 Views
A
Anonymous
Tarehe 6 na 7 mwezi huu wa tano kulikuwa na mitihani ya mock Wilaya. Wilaya ya Mvomero watoto walichangishwa 'rim papers 10' kwa kila mtihani kwenye uhalisia wa matumizi, ni mtihani moja tu wa...
1 Reactions
7 Replies
88 Views
Ndugu zangu Watanzania, Tunamshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema na Fadhili kwa kumsafirisha na kumfikisha Salama Nchini Ufaransa Rais Wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania...
2 Reactions
10 Replies
337 Views
"Samahani sana ninavyokuona sio kama nilivyotegemea, HATUENDANI"... baada ya kusema hivyo jamaa aliyekuwa naye kwenye Toyota Hiace nyeupe akaniangalia na kutabasamu kisha akaondoa gari. Mimi...
30 Reactions
117 Replies
3K Views
Mkazi wa Dar es Salaam, Denis Mfumbulwa mwenye miaka 44 amefikishwa mahakama ya mwanzo ya Kariakoo akidaiwa kujipatia malazi na chakula kwenye hoteli ya Serena kitapeli vyenye thamani ya milioni...
3 Reactions
8 Replies
160 Views
Bado tunabishana kijiweni wapo wanaosema huyu ni Kylian Mbappé wapo wanaosema huyu si Kylian Mbappé kwa ukali wa macho yako, huyu ni yeye au si yeye?
1 Reactions
12 Replies
521 Views

FORUM STATS

Threads
1,853,571
Posts
49,607,757
Back
Top Bottom