Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kinachotokea kwenye mikutano ya mkuu wa Mkoa wa Arusha kimeonesha kuwa, wananchi wengi wanateseka sana kwa kukosa haki zao kutokana na watendaji wabovu wa nafasi tofauti tofauti. Nafikiri hata...
5 Reactions
25 Replies
403 Views
Inakuwaje wanajamvi! Naombeni mniamini Fulham watashinda leo goli 1-0 dhidi ya Man City. Na kesho wabahatishaji Arsenal watagongwa 2-0 na Manchester United. Jumanne ManCity watafungwa 2-0 na...
2 Reactions
16 Replies
490 Views
KAZI ANAZOFANYA MH PAUL MAKONDA NDIO KAZI ZA KIONGOZI Na Comrade Ally Maftah JITU LA MIRABA Mimi ni shabiki mkuu wa aina ya siasa za watu kama Paul Makonda. nimekuwa nikimshabikia bila woga...
5 Reactions
16 Replies
319 Views
Waziri mkuu wa falme za kiarabu,Abdullah bin Zayed amemshushua waziri mkuu wa Israel,Benjamin Netanyahu kwa kauli yake aliyoitoa hivi karibu kwamba nchi ya UAE, Saudi Arabia na mataifa mengine ya...
0 Reactions
4 Replies
131 Views
Nashindwa hata kujieleza maumivu yake kumbe ndo hivi wanangu mpaka video zao wakiwa kitandan ninazo kwenye simu yangu nashindwa hata kumuangalia kwa hasira huyu mwanamke hata kumuulizia juu ya...
25 Reactions
74 Replies
2K Views
Naona zinanichanganya nashindwa kuelewa ni kampuni moja au tofauti Kama ni kampuni moja iweje na matoleo ya majina tofauti kwa mfano Kuna Xiaomi 14 na Kuna Redmi note 13 simu zote hizo utakuta...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Habari za Uzima Ndugu zangu. Mimi ni Kijana wa Kiume Mwenye Umri wa Miaka 26 Nina Usikivu Hafifu. Hali hii imenifanya Nakosa Kazi / Mishe. Juzi Niliitwa kwenye Usaili Kwenye Kampuni Ya Ulinzi Ya...
5 Reactions
11 Replies
64 Views
Mhhh, watu wanapeana ushirikiano jamani. Inaonekana huu mchezo unapendwa na jinsia zote, sasa ni kuwatenganisha tu kama talebani. ==== Pia soma: Wanawake na tabia ya kutusogezea makalio...
33 Reactions
162 Replies
16K Views
Najua ni mara chache sana watu kuizungumzia Dodoma kwa sababu wanai-underrate nakudhani kuwa Dodoma imelala ukweli mchungu ni kuwa kwa kasi ya ukuaji wa mji huu kuna majiji mengi nchini yajiandae...
21 Reactions
6K Replies
218K Views
Habari kamili Mwaafrika mmoja mtanzania amefanikiwa kuwa Tishio kwa wahisani 350 walio kuwa wakiwafadhili vijana wa kitanzania kwa miaka zaidi ya 20 katika shirika la living waters ( LWMT ) kutoka...
0 Reactions
7 Replies
203 Views

FORUM STATS

Threads
1,853,358
Posts
49,597,470
Back
Top Bottom