Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ndugu zangu Watanzania, Hapa chini ni picha ya Mama mzazi wa Mheshimiwa Dkt Tulia Acksoni Mwansasu ,speaker wa Bunge letu pamoja na Rais wa umoja wa mabunge Duniani yaani IPU. Tukio hili la...
10 Reactions
132 Replies
4K Views
Ushawahi kujiuliza kama mimi kwanini kila Diamond akifanya collabo na Lavalava lazima baada ya mda mfupi atapandishia ngoma yake kali na kuipigia promo la hatari, na hiyo ngoma aliyoshirikishwa...
2 Reactions
2 Replies
26 Views
Kuheshimu imani ya mtu, hasa katika nchi isiyo na dini, ni suala nyeti sana. Ndiyo maana Watanzania wengi wanapotaka kufanya sherehe, kama si Waislamu, huhakikisha kuwa mchinjaji wa nyama...
6 Reactions
152 Replies
2K Views
Habari wana JF, kama kichwa cha habari kinavyojieleza, sasa hivi kutokana na uhaba wa ajira ndani ya nchi yetu ya Tanzania, kuna makampuni ambayo yanatangaza yanatoa ajira nje ya nchi, hasa nchi...
2 Reactions
14 Replies
326 Views
Siasa za dijitali, siasa za mitandaoni, siasa za Instagram, siasa za uchawa. Ukiwa na akili timamu huwezi kushabikia siasa za Makonda na umapepe wake wa kulazimisha kukubalika Kila pembe ya...
2 Reactions
13 Replies
225 Views
Jinsi maisha haya inaonesha idadi ya wakataa ndoa inazidi kuwa kubwa yani siku hizi ndoa zimekuwa kama uchaguzi NEC tanzania. jamaa kavisha pete kumbe pembeni kuna jamaa alishapitia kitambo
1 Reactions
35 Replies
595 Views
Nahitaji mbegu bora ya nguruwe morogoro
0 Reactions
0 Replies
1 Views
In the realm of community rights and issue resolution, innovative approaches are often necessary to bridge the gap between citizens and their entitlements. In Arusha Region, Tanzania, a beacon of...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Ni kweli wameshindwa kabisa kugundua dawa ya kutibu Ugonjwa wa Ukimwi au wana maslahi na ugonjwa huu? Kwa miaka mingi tangu ugonjwa huu ulipogundulika kumekuwa na taarifa nyingi zenye utata...
15 Reactions
119 Replies
6K Views
Wakuu vipi? Nina Imani wote mu wazima, ni kampuni gani kwa dar hapa inanunua mwani wakuu? Bei ya kilo ikoje? Nawezaje na naanzaje kupata mteja nje ya nchi ikiwezakana wakuu?
3 Reactions
28 Replies
258 Views

FORUM STATS

Threads
1,853,124
Posts
49,590,775
Back
Top Bottom