Inakwaza na kufedhesha sana kwasasa kuona kuna ongezeko kubwa la watoto ambao hawajulikani baba zao ni akina nani na hata kama baba wanajulikana basi hawapo katika maisha ya mtoto.
Big up kwa...
Ukiingia page ya insta ya millard ayo na Ayo tv unaweza ukadhani imeshakodiwa na ccm
Ukikaa kidogo utaona habari ya Happi mara mbili kwa siku , kesho makala keshokutwa nchimbi na kinana, Baada ya...
Ndugu zangu Watanzania,
Mheshimiwa Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Kassimu Majaliwa leo hii ameshiriki Tulia Marathon Mkoani mbeya. Mbio ambazo zimekuwa zikifanyika kila mwaka...
Mwisho wa mwaka huu ndio ushafika. Wengine huwa tunapambana mwaka mzima siku za mwisho kama hizi ndio tunapumzika. Wale wa road trips ndio wakati wetu huu kupiga masafa mafupi, marefu na ya Kati...
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive...
matukio ya Pan Africanist kalenda Congress 1959-2011
Mnamo 1959 Walioamini kuwa Afrika ya Kusini ni Kwa Waafrika siyo nchi mchanganyiko walijitenga na ANC na kuunda chama chenye msimamo mkali...
Baada ya Watanganyika na Wazanzibar kuanza kuhoji kuhusu Muungano kwa kasi, sasa nahisi kwa nini Jiwe aliamua kwa nguvu zote kuhakikisha ndoto ya serikali kuhamia Dodoma inatimia ili kuwa sehemu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.