Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ni mda mrefu sasa mwana Jf Suzy Elias haonekani humu jukwaa LA Siasa na isivyo kawaida! Yu wapi ndugu yetu?
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Ndugu wanajukwaa, natumaini mnaendelea vizuri katika harakati za hapa na pale za kujikwamua kiuchumi. Bila kuwachosha niende moja kwa moja kwenye hoja husika: Siku za nyuma hivi karibuni Tume...
9 Reactions
42 Replies
3K Views
Kwa sasa Chama chako kiko katika wakati mgumu wa mgawanyiko wa nani kiwe upande wake. Kuna timu Mwenyekiti, Lema and the Company, hawa wako na wasi wasi, na hawana imani tena na Timu Makamu na...
1 Reactions
16 Replies
289 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
515K Replies
29M Views
Mashabiki wengi wa ngumi pamoja na mabondia mbalimbali wa ngumi duniani wameshtushwa baada ya kuona maandalizi ya pambano kati ya mwanadada Claressa Shields pamoja na bondia wa kiume Ryan Garcia ...
4 Reactions
38 Replies
325 Views
Naomba kujua unywaji pombe salama na bora kiafya ni kiwango gani kwa siku? Bia ni kiasi gani na pombe kali konyagi au K.VANY ni kiasi gani? Wadau naomba kujuzwa kiwango sahihi kwa siku.
1 Reactions
3 Replies
63 Views
Jamani sijui Mimi ni mshamba?sijawahi penda biriani
12 Reactions
207 Replies
1K Views
Kuheshimu imani ya mtu, hasa katika nchi isiyo na dini, ni suala nyeti sana. Ndiyo maana Watanzania wengi wanapotaka kufanya sherehe, kama si Waislamu, huhakikisha kuwa mchinjaji wa nyama...
4 Reactions
85 Replies
505 Views
Habarini wakuu, Naomba kwa anaefahamu sehemu wanatoa vibarua kwa siku Mbeya, iwe ni kiwandani ama kwenye miradi ya ujenzi, barabara n.k naomba anisaidie conection au utaratibu wa namna ya kupata...
3 Reactions
12 Replies
200 Views
Tunatambua mchango wa JWTZ katika Taifa letu, lakini pamoja na yote, bado kwangu wanasiasa wananguvu sana kufikia hatua ya kuharibu mali asili za nchi kwa ajili ya manufaa binafsi Mimi nashauri...
9 Reactions
26 Replies
455 Views

FORUM STATS

Threads
1,853,038
Posts
49,588,010
Back
Top Bottom