Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
927 Reactions
1M Replies
40M Views
Katika miaka kadhaa ambayo watanzania tumeizoea mitandao basi tunakutana na watu mbalimbali katika posts zao ama comments ambazo ukizisoma unaweza patwa na hasira kwa jinsi alivyoandika upuuzi...
1 Reactions
12 Replies
55 Views
Kama unatumia sana youtube utakuwa umekutana na matangazo ya mikopo mtandao. Mimi sikuwa nayazingatia mpaka yakaanza kuwa ya ajabu ajabu kama hivi; Basi nikaamua kufuatilia kidogo, nikatafuta...
7 Reactions
18 Replies
432 Views
Yani wewe ubaki na simu yake hlf akupe yake kwa KUTWA MOJA tu. eti wakuu? inawezekana au tuwaache kwanza? maana wengine hamkawii kudai tunawaonea wivu[emoji102]
3 Reactions
28 Replies
251 Views
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Dkt. Tausi Kida amepokea Tuzo ya Taasisi Bora ya Uwekezaji Afrika iliyokwenda Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kwa niaba ya Waziri wa Nchi...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Ni siku ya 4 leo nipo mjini Shinyanga kikazi, badi leo mwenyeji wangu akaniambia atanipitisha maeneo ya madada poa wa Shinyanga ili kujionea vijana wanavyo angamia na ngono zembe ndipo...
26 Reactions
192 Replies
24K Views
Jinsi masuala ya muungano yanavyoshughulikiwa na kwa sasa, ni mtu kipofu wa akili tu ndio hataona kwamba kadiri siku zinavyopita mbegu za uhasama kati ya Tanzania bara na Zanzibar inazidi kuota...
28 Reactions
117 Replies
3K Views
Bila Benki Kuu na Wizara ya Fedha kuongilia kati, naona mgomo mkubwa unanukia Arusha au Nchi Nzima kutoka kwa mawakala wa mabenki na taasisi za fedha wanaokusanya madeni mara baada ya Makonda...
5 Reactions
82 Replies
1K Views
Being an enemy of the United States can be dangerous, but being a friend is fatal(Henry Kissinger) May 6, 2024 In the case of today’s European economies the fatality, the “Kissinger factor,”...
2 Reactions
8 Replies
275 Views

FORUM STATS

Threads
1,852,431
Posts
49,604,042
Back
Top Bottom