Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wakuu na wataalam hawa haya maswala, inakuaje gari ni mpya toleo la karibuni lakini namba ya usajili unakuta ni ya mwaka 2001 huko. Naombeni mnijuze
1 Reactions
34 Replies
701 Views
Yani wewe ubaki na simu yake hlf akupe yake kwa KUTWA MOJA tu. eti wakuu? inawezekana au tuwaache kwanza? maana wengine hamkawii kudai tunawaonea wivu[emoji102]
3 Reactions
35 Replies
368 Views
#nguvumoja# VIKOSI VINAVYOANZA. AZAM FC SIMBA SC. Updates... Timu zote mbili zimeshaingia Benjamin Mkapa. Wanajiandaa kuanza mazoezi ya kupasha misuli. Updates.... 04' Azam wanajaribu...
12 Reactions
684 Replies
14K Views
Hapa nilipo nina majonzi, roho imeniuma sana kwa kuzaliwa kwenye familia maskini Ipo hivi mimi kwetu ndio wa mwisho msichana peke yangu kati ya watoto 6.. Mzee wangu alitangulia mbele za haki...
16 Reactions
124 Replies
1K Views
Habari za majukumu wakuu? Gari yangu aina ya Toyota RAV 4 miss TZ jana ilinasa kwenye dimbwi la maji kwenye kina kirefu kidogo ikabidi mpaka tuite watu yale magari ya breakdown waje waitoe baada...
1 Reactions
16 Replies
93 Views
Azam yupo tayari kwa lolote hata kukihujumu ili Simba anufaike Leo Azam kauza nafasi ya pili makusudi kwa Simba Kuna msimu aliwapa Simba wachezaji 6 wa first 11 ndo Simba akatawala soccer la...
1 Reactions
2 Replies
14 Views
Kwa kweli umasikini ni mbaya sana hutakiwi kukosa milioni 15 au milioni 20 ya gari. Kwa mentality za kibongo tunaonaga mtu akiwa na gari basi kayapatia maisha au ni tajiri sana. Lakini...
25 Reactions
51 Replies
2K Views
Naomba kuuliza juu ya Tangazo hili kama ni la kweli, maana linasambaa sana. [emoji120]
10 Reactions
234 Replies
12K Views
Mjukuu wa baba wa Taifa la Zanzibar Fatma Karume amesema Bunge la Dodoma lina Wabunge 50 wa Zanzibar ( Minority) na Wabunge 250 wa Tanganyika ( Majority) hivyo wakati mwingine hufanya Maamuzi...
4 Reactions
72 Replies
2K Views
Kabla ya yote natanguliza ombi Maalum, kwamba kama Taarifa hii si ya kweli iondolewe hapa mara moja. Lakini kama ni ya kweli ijadiliwe ili tufahamu malengo yake, yaweza kuwa malengo mazuri tu...
5 Reactions
80 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,852,654
Posts
49,578,867
Back
Top Bottom