Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mungu wa mbinguni mbariki Paul Makonda na program yake ya kuliokoa Taifa Habari njema ihubiriwe kuanzia Mlima Kilimanjaro hadi bwawani kwa mwalimu Nyerere Rufiji Nawatakia Kupaa kwema kwa Masihi...
1 Reactions
8 Replies
34 Views
Jamani yule Jabali la siasa bora zenye Tija kwa taifa limeanza Phase 2 hapo jana. Tundu Lissu Mwenyekiti wa Chadema Taifa ameonekana akiwa kwenye mkutani Mkoano Dodoma wilaya ya Mpwapwa huku...
0 Reactions
5 Replies
93 Views
Ndugu zangu Watanzania, Ukifuatilia kwa umakini na ukatafakari kwa undani na ukatizama kile anachokifanya Mheshimiwa Makonda Mwamba Mwenyewe katika majukumu yake anayokuwa amepewa na kuaminiwa na...
1 Reactions
22 Replies
78 Views
Wasalamu, kupitia msaada wa mitandao ya jamii imefanikisha kulikamata tapeli sugu na maarufu nchini jina Yonah Kittah pichani chini. Kwa miaka mingi amekuwa akifungia kampuni halali za kuuza...
18 Reactions
148 Replies
18K Views
Jinsi masuala ya muungano yanavyoshughulikiwa na kwa sasa, ni mtu kipofu wa akili tu ndio hataona kwamba kadiri siku zinavyopita mbegu za uhasama kati ya Tanzania bara na Zanzibar inazidi kuota...
27 Reactions
104 Replies
3K Views
Inadaiwa kauli zake za hivi karibuni zimechangia kushusha morali za wachezaji na kupelekea baadhi ya wachezaji kuleta mgomo baridi. Ikumbukwe kuwa uongozi wa Simba uko makini sana kulinda hadhi...
0 Reactions
3 Replies
79 Views
Last week ndugu yangu aliumia mgongo kwa kusukumwa akipanda Mwendokasi Kariakoo. Nilitoka Mwanza kwenda kumsalimia kisha nikaenda kujionea mazingira yaliyopelekea yeye kuumia. Naomba niseme tu...
11 Reactions
38 Replies
711 Views
Bila Benki Kuu na Wizara ya Fedha kuongilia kati, naona mgomo mkubwa unanukia Arusha au Nchi Nzima kutoka kwa mawakala wa mabenki na taasisi za fedha wanaokusanya madeni mara baada ya Makonda...
4 Reactions
65 Replies
776 Views
Wakuu kuna jambo linanitatiza. Nimekuwa na mahusiano kwa miaka miwili sasa huyu mwenzangu anataka tuchukuane kimya kimya (sogea tuishi) pasipo ndoa rasmi. Anaeleza kuwa baada ya mimi kwenda kwake...
9 Reactions
283 Replies
43K Views
Tunaendelea kuweka sawa rekodi za Mzanzibari Samia alizofanya Kwa miaka 3 lakini ziliwashindwa Watanganyika Kwa Miaka zaidi ya 60 ya Uhuru. Elimu 1.Amefuta ada ya form Six na kupunguza ada ya...
1 Reactions
10 Replies
141 Views

FORUM STATS

Threads
1,852,418
Posts
49,603,760
Back
Top Bottom