Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wakuu nimetafakari sana nimegundua kumiliki gari ukiwa TZ sio jambo dogo tofauti na nchi jirani. Gari linachukua pesa zako nyingi sana kwa mara moja. Kwa mfano ukiagiza gari ulilolipia labda Tsh...
1 Reactions
2 Replies
3 Views
Mwanamke pia sharti uwe na uwezo wa kuleta mezani vitu kama title deed, logbook, biashara, kampuni. Ni lazima tuwe na kizazi cha wanawake ambao kazi yao sio tu kuchora eyebrows, chora eyebrows na...
2 Reactions
23 Replies
178 Views
#nguvumoja# VIKOSI VINAVYOANZA. AZAM FC SIMBA SC. Updates... Timu zote mbili zimeshaingia Benjamin Mkapa. Wanajiandaa kuanza mazoezi ya kupasha misuli. Updates.... 04' Azam wanajaribu...
12 Reactions
691 Replies
11K Views
Hapa nilipo nina majonzi, roho imeniuma sana kwa kuzaliwa kwenye familia maskini Ipo hivi mimi kwetu ndio wa mwisho msichana peke yangu kati ya watoto 6.. Mzee wangu alitangulia mbele za haki...
10 Reactions
49 Replies
270 Views
Habari ndugu zangu Kwa majina naitwa mwamimi shafii naishi Arusha Umri 21 Jinsia :KE Elimu: four ila nilifeli nilipata leaving tu Baba yangu alifariki mama yangu yupo Msaada wenu wakupata...
5 Reactions
21 Replies
202 Views
Kabla ya yote natanguliza ombi Maalum, kwamba kama Taarifa hii si ya kweli iondolewe hapa mara moja. Lakini kama ni ya kweli ijadiliwe ili tufahamu malengo yake, yaweza kuwa malengo mazuri tu...
3 Reactions
67 Replies
2K Views
Wanapenda kutumia lugha ya upotoshaji lakini hawasemi ukweli ni upi Yani mtu akiongea kuhusu viongozi Kuendesha kwa kiukoo Au kwa kufanya ufisadi Wanatokea machawa wanasema Anapotosha cha...
1 Reactions
2 Replies
18 Views
Wakuu mwezi uliopita nilifanya malipo online kwa debit card ya equity, sasa leo kuna hela imechotwa kwenye account naambiwa ni mark-up fee! Nimewapigia wanadai ni makato ya serikali ambayo ni...
1 Reactions
13 Replies
155 Views
Vijana wengi wana mitaji mdogo ila hawajui biashara gani wafanye kuendena na huo mtaji bila kupoteza huo mtaji, kwa ufupi ntataja aina za biashara ambazo kijana mwenye juhudi ya utafutaji anaweza...
8 Reactions
28 Replies
680 Views
Hayawi hayawi mwisho yamekua kuna baadhi ya watu wanaamini kwa asilimia mia kuwa Azam fc atashinda mbele ya Simba sc nawaambieni futeni wazo hilo kwani azam atakufa kifo cha mende kama hatodhibiti...
0 Reactions
9 Replies
221 Views

FORUM STATS

Threads
1,852,631
Posts
49,578,426
Back
Top Bottom