Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mimi ni mkazi wa Dodoma, nimekuwa nikiagizwa sana na baadhi ya wadau hasahasa wale wa mbali na Dodoma na hata waliopo Dodoma,kuwatatulia matatizo mbalimbali ambayo hayawalazimu wao kufika huku...
59 Reactions
318 Replies
21K Views
Ukiona moshi, usidhani uko Mkoa wa Kilimanjaro, wakati mwingine ni moto unawaka chini kwa chini. Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Chadema Mkoa wa Mbeya amekiri kwamba uchaguzi ndani ya chama umejaa...
0 Reactions
13 Replies
153 Views
Wakuu..... Sina haja ya kuanza na salam, maana nimevurugwa. Ipo hivi..... Kwasasa nimehamishiwa Dar kikazi. Sasa one time nilialikwa na mwanangu Tupa niende kwenye pare ya kutimiza miaka 10 ya...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Juzi rafiki yangu alikuwa ananipa stori kuhusu mama yake. Alichukua mkopo NMB kama miaka 5 iliyopita, akaweka hati ya nyumba yake kama dhamana. Uyo Mama kahangaika sana hadi akalipa deni lote...
16 Reactions
172 Replies
5K Views
Wanajamvi, Nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nini kinachoendelea?
42 Reactions
51K Replies
3M Views
Niliwekwa ndani na mke wangu baada ya mimi kugoma kutoa mchango wa kumdhamini kaka yake aliyekamatwa na pembe za ndovu. Zilitakiwa milioni 5 kumdhamini kaka wa mke wangu, ndugu zake...
10 Reactions
60 Replies
526 Views
Mkurugenzi Mkuu wa Ubia kati ya Sekta binafsi na Serikali ya JMT Mhe David Kafulila akiwa kwenye kipindi Cha DAKIKA 45 kinachorusha katika runinga ya ITV ameuambia umma wa Watanzania mambo...
9 Reactions
194 Replies
2K Views
Ndugu zangu , siku ya leo nawaletea SONY PS4 PADS Full ku enjoy Hii inaenda kwa 70,000/= tuuuuu Karibu sana Tupo kariakoo mtaa wa aggrey/ndanda Tupigie au wasap - 0692690033 Maongezi yapo ...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
<Marquee> kichwa Cha habari kinajieleza</Marquee>
1 Reactions
34 Replies
213 Views
Shehe Issa Ponda ametoa taarifa ya Hukumu kwa Mashehe iliyotolewa na mahakama jijini DSM Ponda amesema shehe Said Bakari na Shehe Abubakar Paul wamehukumiwa kunyongwa Shehe Musa Hassan, Hussein...
2 Reactions
38 Replies
900 Views

FORUM STATS

Threads
1,852,253
Posts
49,598,233
Back
Top Bottom