Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
266 Reactions
163K Replies
5M Views
Una kituko umekiona mtandaoni, tushirikishane hapa…
103 Reactions
220K Replies
16M Views
Salaam,shalom, Mvua kubwa zilizonyesha nchini zimeanza kuleta madhara makubwa Kwa nyumba na makazi ya watu waishio kandokando mwa ziwa Hilo. Imeripotiwa kuwa, kaya zaidi ya 400 hazina makazi...
7 Reactions
41 Replies
1K Views
Nilitaka tu kujua kwako wewe binafsi toka ile siku umejiunga na JamiiForums ni kipi imekusaidia kivyovyote vile kijamii, kisiasa, kidini hata kielimu pia...?
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, leo Tarehe 8 May 2024, Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu bado yuko Mikoani akihutubia na kufundisha Wananchi kuhusu sheria mbalimbali za Tanzania...
11 Reactions
26 Replies
1K Views
Habari ndugu zangu, nimekutana na utapeli wa kiwanja maeneo ya Kisota Kigamboni. Mpaka sasa nipo njia panda kupata haki yangu pamoja na wahanga wenzangu zaidi ya 10, ambao tumenunua viwanja hivyo...
2 Reactions
7 Replies
189 Views
Huyu kijana ambaye kwa sasa anaitwa BoniYai au Mleta Taharuki, hadithi yake ya kisiasa inasisimua kwa kiasi chake, hakuwahi kuwa na makuu wala kujikweza. Hebu msome hapa halafu Toa maoni yako
11 Reactions
33 Replies
700 Views
Am new to the forum, kindly invite me in a warmly welcome note... I don't speak and write much Swahili... But 'll try out... Ciaao joh
5 Reactions
17 Replies
143 Views
  • Poll
Habari wakuu, Naomba kujua maoni yenu! Klabu gani itashinda Champions League 2024 na kwa nini?
3 Reactions
41 Replies
1K Views
Tanzania ni moja tu, leo unaitwa Mwanaharakati wa Tanzania kwa sababu wapo Watanzania wenzako wameifikisha hapa. Inakufaa nini kuzungumza uzushi juu ya nchi yako? Utafaidika nini kutangaza mabaya...
0 Reactions
5 Replies
95 Views

FORUM STATS

Threads
1,852,381
Posts
49,602,722
Back
Top Bottom