Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wakuu kwema? Ngoja niwape stori halafu mnishauri. Nyumba niliyopanga ina vyumba 7 na wapangaj 6 cha saba ni Maza house na mume. Sasa jana nilikuwa nimechill chumbani kwangu nimelala mchana na...
4 Reactions
27 Replies
738 Views
Mwanaume timamu hata kama una watoto 5 nje ya ndoa unaanzaje kuoa mwanamke mwenye mtoto? Kwamba mwanamke aliyezaa hata ukilala naye siku moja unashindwa kujua kwamba kazaa? Unadanganywa kwamba...
54 Reactions
193 Replies
7K Views
Karibuni tuinvest katika soko letu la hisa iwe meridian, iplay8 casino, m-bet, premier betting, skybet, landbrokerz, bet365... n.k...
229 Reactions
401K Replies
32M Views
Niliwekwa ndani na mke wangu baada ya mimi kugoma kutoa mchango wa kumdhamini kaka yake aliyekamatwa na pembe za ndovu. Zilitakiwa milioni 5 kumdhamini kaka wa mke wangu, ndugu zake...
21 Reactions
98 Replies
1K Views
Nimefuatilia interview ya Prof. Safari aliyofanya majuzi, pamoja na mengine, nimeondoka na nukuu hiyo kwamba watanzania hawana utamaduni wa kusoma, kwe ye usafiri wa umma wanashindana kula. Hii ni...
3 Reactions
8 Replies
42 Views
Mimi si msomaji mzuri sana wa Maandiko Matakatifu , lakini ninafahamu kidogo kwamba ndani ya Biblia kuna kisa kilichomhusu Yesu na Petro , inaelezwa kwamba Petro alijaribu kupita Juu ya Maji kama...
8 Reactions
61 Replies
6K Views
Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemuagizi waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dkt. Suleiman Jafo kuandaa katazo na kupiga marufuku matumizi ya Kuni...
0 Reactions
2 Replies
12 Views
Ni jambo la wazi kwamba system ya elimu ya Tanzania kwa kiasi kikubwa inaandaa wanafunzi kuwa na ndoto za kuajiriwa hivyo kama mwanafunzi ana ndoto hizi nikiri kusema kusoma UDSM ni advantage...
1 Reactions
10 Replies
70 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
514K Replies
29M Views
Eti mbunge huyo wa Bunda vijijini Boniface Mwita Getere anasema wanachuo wasipewe boom kwani wanafunzi wanaopewa boom hawana nidhamu, niwalevi, na hawasomi. Anadai eti walipiwe karo tu kuhusu...
11 Reactions
53 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,852,282
Posts
49,598,857
Back
Top Bottom