Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

🔰𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇 𝐃𝐀𝐘🔰 🏆 #NBCPremierLeague ⚽️ Young Africans🆚Kagera sugar FC 📆 08.05.2024 🏟 Azam complex 🕖01:00 usiku Kikosi kinachoanza dhidi ya Kagera Sugar
8 Reactions
70 Replies
1K Views
Ukiona moshi, usidhani uko Mkoa wa Kilimanjaro, wakati mwingine ni moto unawaka chini kwa chini. Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Chadema Mkoa wa Mbeya amekiri kwamba uchaguzi ndani ya chama umejaa...
3 Reactions
29 Replies
581 Views
Kama ni Habari ya Tanganyika rip mchungaji Mtikila alipeperusha hadi bendera nyumbani kwake pale Ilala na ilikuwa Kawaida tu Kama ni Muungano Maalim Seif rip alijitahidi kuuboresha na Shujaa...
0 Reactions
5 Replies
56 Views
Mambo ya kubishana chuo gani kimeiva, chuo gani kinatoa wanafunzi cream, n.k. huwa yanaishia vyuoni. Baada ya kumaliza chuo, je chuo ulichosoma kinakuboost upewe kipaumbele kwenye ajira ? chuo...
3 Reactions
21 Replies
280 Views
Wadau wananchi elf 3000 wako vituo vya hapa NBC bank mjini kati tangu saa 11, hakuna gari inayopakia bali zote za kwenda Mbezi na Kimara zinapita zimejaa na hazisimami.Je kwanini serikali...
0 Reactions
3 Replies
49 Views
Nimeona nije nipate michango ya wanajamvi kutokana na kwamba jukwaa hili Lina wasomi na madaktari wengi. Kwasasa vijana wengi tumeangukia kwenye wimbi la kujipima na Kula tunda kavu, ata huko...
3 Reactions
39 Replies
270 Views
Hali ya uchumi inaimarika sana nchini. Pamoja na lawama za mfumuko wa bei, hiyo ni mojawapo ya growing economy hatuezi ikwepa. Kariakoo kuna uvunjaji na ujenzi wa majengo ya ghorofa karibia 100...
1 Reactions
6 Replies
35 Views
Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa? Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500. Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa...
74 Reactions
278 Replies
11K Views
Tundu Lissu ameendelea na Mikutano ya Hadhara na leo yupo wilaya ya Mpwapwa ambapo pamoja na mambo mengine amesema tangu atoe hoja zake siku ya Muungano, Aprili 26, 2024, wamekuwepo watu wengi...
11 Reactions
26 Replies
584 Views
  • Suggestion
Inatisha na kusikitisha jinsi changamoto za sekta ya afya zinavyoathiri watu kote ulimwenguni, Tanzania nchi yangu nayo haijaachwa nyuma na janga hili linalokua kila uchwao, linaloteka vichwa vya...
2 Reactions
4 Replies
35 Views

FORUM STATS

Threads
1,852,311
Posts
49,599,811
Back
Top Bottom