Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habar za wakati huu wanaJF? Binafsi nimekuwa nikipata shida kidogo kuelewa nini tatzo hasa ninapoamua kununua na kula tikitimaji siku za karibuni, nakumbuka miaka ya nyuma ktk matunda yaliyokua...
6 Reactions
96 Replies
2K Views
katika mazingira tofauti tofauti, mathalani mitandaoni, vyuoni na majukwaani kuna aina tofauti tofauti za wanasiasa na siasa. wapo vijana katika siasa, wazee, wanawake kwa wanaume. wapo...
0 Reactions
8 Replies
47 Views
Juzi rafiki yangu alikuwa ananipa stori kuhusu mama yake. Alichukua mkopo NMB kama miaka 5 iliyopita, akaweka hati ya nyumba yake kama dhamana. Uyo Mama kahangaika sana hadi akalipa deni lote...
15 Reactions
157 Replies
5K Views
Hii video nimetumiwa, jamaa huko mwanza kajirusha alikuwa kwenye daraja la mabatini. Chanzo inasemekana mambo ya mapenzi. Tukirudi kwenye hiyo video ukiangalia, wakati yuko juu watu wanampita...
2 Reactions
17 Replies
495 Views
Wanakumbi. 🇵🇸HAMS KWA ISRAEL: UTAJUTA KUVAMIA RAFAH Taarifa Rasmi ya Hamas: "Hatua zilizochukuliwa na jeshi la kigaidi katika maandalizi ya shambulio dhidi ya mji wa Rafah, ambao umejaa wakazi...
4 Reactions
96 Replies
2K Views
Tanzania ni nchi yetu sote hatuna taifa jingine zaidi ya Mama Tanzania. Tukiwa kama watanzania wenye uchungu na taifa letu hatuna budi kulilinda dhidi ya maadui au chokochoko za aina zote. Kauli...
2 Reactions
48 Replies
655 Views
Kumekuwa na mjadala mkubwa sana juu ya uwakilishi wa kila Mbunge mjengoni. Sheria inasema kuwa kila Mbunge anatakiwa kuwakilisha wastani wa watu 100,000 katika Jimbo lake. Nashauri tufuate...
1 Reactions
11 Replies
300 Views
Mkurugenzi Mkuu wa Ubia kati ya Sekta binafsi na Serikali ya JMT Mhe David Kafulila akiwa kwenye kipindi Cha DAKIKA 45 kinachorusha katika runinga ya ITV ameuambia umma wa Watanzania haya...
2 Reactions
8 Replies
74 Views
Wakuu mambo vipi? Nawasogezea mada hapo ni hivi kati ya Gongo la mboto (Goms) na Mbagala(Mbajara in mateja voice) je ni sehemu gani ina watu(nyomi) wengi kuliko mwenzie ukija na hoja yako weka na...
25 Reactions
270 Replies
19K Views
Inawezekana kuna mtu akawa na changamoto kama yangu hii hapa. Unajitahidi kutokuwa na mchumba na unajilinda kutokufanya uasherati lakin muda mwingi nakuwa Natumia kufikiria matendo ambayo si...
4 Reactions
27 Replies
416 Views

FORUM STATS

Threads
1,852,093
Posts
49,594,510
Back
Top Bottom