Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habari 1. Wengine wanasema kuna Mungu Baba, mwana na roho mtakatifu 2. Wengine wanasema Mungu mmoja 3. Wengine nasikia wanasema ana nafsi tatu Na je kama ana nafsi tatu kwa nini munamuabudu...
4 Reactions
90 Replies
691 Views
Jicho langu:Tabora walinyimwa goli halali kama la Aziz Ki Klabu ya Tabora united katika mchezo wa jana walinyimwa goli la halali katika mchezo wao waligi kuu ya NBCPL waliocheza na Simba katika...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Dada zetu mtalea sana watoto peke yenu na kujipa usingo mother usio na sababu, kumbukeni kuwa kuzaa ni mipango ya watu wawili mama na baba. Sasa unakutana na binti kaanzisha tu mahusiano na mume...
1 Reactions
10 Replies
117 Views
Wadau hamjamboni nyote? Msako wa wanaopinga fundisho la utatu yaani Mungu mmoja ndani ya watatu unaendelea kwa kasi ndani ya kanisa la Wasabato Hivi majuzi mchungaji mmoja huko Ethiopia...
5 Reactions
50 Replies
3K Views
Hawa Wabunge wenu huwa hawana uwezo, tukisema tunaambiwa tuna kashfu. Sasa angalia huyu Mama, sijui Mbunge wa Wapi huko, hajui CT SCAN anasema T scan, akili yake yote ameilekeza kumsifia...
14 Reactions
102 Replies
1K Views
Kwa wale mliopitia habari za barabara ya Dar es salm, Kibiti, Lindi Mtwara hivi karibuni, sasa tunajionea madudu ya kale. Barabara hii imejengwa chini ya viwango. Na tukumbuke waziri aliyehusika...
5 Reactions
46 Replies
628 Views
Tanzania ni nchi yetu sote hatuna taifa jingine zaidi ya Mama Tanzania. Tukiwa kama watanzania wenye uchungu na taifa letu hatuna budi kulilinda dhidi ya maadui au chokochoko za aina zote. Kauli...
2 Reactions
24 Replies
198 Views
Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
925 Reactions
1M Replies
40M Views
I will be short These are the most useless individual in our football. i believe we could have been better than what we are today. 1. Ligi yetu ina panga matokeo kama ligi ya Kenya. Shame...
1 Reactions
11 Replies
283 Views
"University of Southern California Muslim students are praying Jumma (Friday prayer) and non-muslim students made a wall, surrounding them for their safety. How beautiful Scene!"
6 Reactions
54 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,851,832
Posts
49,586,585
Back
Top Bottom