Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Tajiri wa hizi sheli kafanikiwa kumaintain discipline na uaminifu kwa wafanyakazi wake napendezwa sana na utamaduni wao karibia kwa sheli zote. Naonaga zinapigwa nyimbo za dini au ni sheli ya...
7 Reactions
43 Replies
1K Views
Ninaishauri serikali imdhibiti sana Lisu kwa kauli zake anazotoa. Surely ule ni uhaini na anajaribu kusambaza chuki ya wazi wazi wanachi wamachukui Samia kama yeye na siyo rais. Chukueni hatua...
0 Reactions
13 Replies
102 Views
Mimi sijaoa Ingawa naelekea huko. Uzi wangu ni kwa dhumuni la kujifunza, hasa kutoka kwa wenye ndoa. Hili swali nimekuwa nikijiuliza mara nyingi sana. Sasa Jana Kuna movie Moja ya Ki-Nigeria...
3 Reactions
39 Replies
253 Views
Mechi baina ya Simba dhidi ya Azam ndio itakayotoa mwanga ni timu ipi inaweza kucheza klabu bingwa msimu ujao. Azam wakiwa wameshuka dimbani mara 25 wakijikusanyia alama 57 wanapigana vita dhidi...
1 Reactions
19 Replies
605 Views
Aiseeee kunaaa mambo ambayoo yakifanyikaa mpaka unaogopa, nipo maeneo ya mbezi na askari wa mp wamewapigisha kwata dereva na konda wake.Kilichotokea inasikitisha sana na mpaka tumesHAURIII...
2 Reactions
26 Replies
322 Views
Kwa wale mliopitia habari za barabara ya Dar es salm, Kibiti, Lindi Mtwara hivi karibuni, sasa tunajionea madudu ya kale. Barabara hii imejengwa chini ya viwango. Na tukumbuke waziri aliyehusika...
7 Reactions
65 Replies
1K Views
Na ndiyo maana GENTAMYCINE nampenda sana Premier Nentanyahu kwani hana Unafiki, Mbabe na Anajiamini sana.
3 Reactions
12 Replies
78 Views
Na.Comred Mbwana Allyamtu-CMCA Saturday 04/05/2024 Mpanda-Katavi Leo nazungumza na wanaotaka kuoa, "Mary who you understand and understand who you marry", ni lazima ujue yupi wa starehe na yupi...
1 Reactions
3 Replies
10 Views
Nimeikuta facebook baada ya jamaa kununua gari la kichina kwa wakala huko sauzi Hakuchukua muda mrefu Chuma inayoshikilia tairi limekatika
2 Reactions
57 Replies
1K Views
Usajili wa clabu mbili kongwe Simba na Yanga ikiwa simba imemsajili Freddy na yanga imemsajili guedde Ila ukweli mchungu kuna usajili wa upande moja ni hasara tu so tuta judge kwa kuangalia mechi...
4 Reactions
68 Replies
5K Views

FORUM STATS

Threads
1,851,843
Posts
49,586,921
Back
Top Bottom