Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Leo kanisani nilikuwa na Kigogo mmoja wa UVCCM mkoa wa Pwani ambapo alinipa ABC za vita yao na mwanamitandao Mange Kimambi. Jamaa ameniambia mwaka huu lazima mwadada huyo aombe msamaha rais na...
2 Reactions
13 Replies
200 Views
Mimi nliwahi nusurika kuzama baharini,pale coco beach. Kipindi nasoma nna kama miaka 17 nliingia na wenzangu kwenye maji ila upande wangu sikushika boya nliingia kama nlivyo,usawa wa magoti...
16 Reactions
67 Replies
796 Views
Mhe. Kinana anazungumza na waandishi wa habari Dodoma. Katika mambo aliyozungumza ni kudai tume itakuwa huru, kudai Rais ana nguvu kwenye kila tume ya uchaguzi Duniani na kudai Chadema wanamepewa...
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Wiki mbili za Tundu Lissu kufanya maandamano Takribani Mikoa 6 mfululizo zimeacha Madhara makubwa. Madhara hayo ni kufungua Wananchi kuhusu maswala mbali mbali ikiwemo Uchaguzi, Katiba Mpyaz...
0 Reactions
14 Replies
122 Views
Kwa mujibu wa nyaraka za Sumeria , zinazungumzia namna Binadamu alivyotokea , Binadamu alitengenezwa maabara (Genetic engineering) na kazi yake ilikuwa ni kufanya kazi kwenye migodi ya dhahabu...
12 Reactions
53 Replies
3K Views
Salaam, Nimenunua simu kwa njia ya mtandao (huawei p8 lite), Imenifikia tyr lakini laini hazisomi,,, wataalamu shida ni nn Labda sikua makini kwenye kuangalia (mtandao ni KIKUU)
1 Reactions
6 Replies
51 Views
Nadhani bora zimwi ulijuali halikuli ukakwisha. Uchaguzi wa chadema unaenda kuleta viongozi wala rushwa ambao wataongoza mapambano ya kupata katiba mpya ambayo, pamoja mambo mengine, itapambana...
3 Reactions
12 Replies
133 Views
Sikiliza Afande Sele alivyowashukia CHADEMA hapa
14 Reactions
115 Replies
3K Views
Kulikuwa na wafalme kama hawa 1.. Joseph Mbilinyi SUGu, Mr II, 2proud, Taita 2. Professor J 3. JUMA Nature 4. Inspector Haroun 5. Ferouz 6. Mr. Nice 7. Mr. Blue 8. Mangwea 9. Afande Selle 10. 20...
0 Reactions
7 Replies
54 Views
Wanakumbi. MAMLAKA ZA ISRAEL WAVAMIA SHEREHE ZA KANISA HUKO YERUSALEMU Matukio ya machafuko leo wakati wa sherehe za kila mwaka za Moto Mtakatifu. Mamlaka iliwakamata maafisa wa usalama wa...
2 Reactions
17 Replies
152 Views

FORUM STATS

Threads
1,851,355
Posts
49,571,307
Members
667,909
Latest member
kipscalich
Back
Top Bottom