Hawa wakiruhisiwa kuwaza urais naomba watanzani muwakatae mana wa umaguli ndani yao. Na mnajua ndani ya miaka mitano jinsi jpm alivyotorture watu na nchi. No ajira at all for five years.
1...
Wanaume wenzangu hivi unapomfunua msichana ukamkuta Bikra inaweza kuwa sababu ya kumuamini kuwa umepata binti mwenye kujielewa na kuhifadhi tupu yake?au ni magumashi?
Kwa namna mambo yalivyo na namna mambo yanavyoendelea, nashawishika kusema waliotaka kukiuka katiba baada ya kile kifo walikuwa sahihi sana.
Watu hawa wana macho makali yanayoona mbali kama ndege...
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive...
Wakuu habari za jumapili,
Kama kichwa cha thread kinavyosema, ile hali umemsimamisha mschana unamuomba namba alafu anakunyima daa inaleta stress sana ila basi tu.
MUONGOZAJI na mtayarishaji wa video za muziki nchini, Khalfani Khalmandro
DAR ES SALAAM: MUONGOZAJI na mtayarishaji wa video za muziki ‘vichupa’ nchini, Khalfani Khalmandro amefariki dunia...
Mmepita huku insta mkaona harambee ya watoto wa mjini??
Wanachangisha michango Ili kuleta mwili wa dada mmoja aliefikia uturuki katika harakati za surgery ya kuweka makalio, kwahyo inasemakana...
Wasaalamu, wakati mwingine pombe huwa na busara yake tunamalizia weekend ili kesho tukatumikie taifa tunataka kuondoka jamaa amekuja hapa ametupa one for the road, pia amekuja na mada ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.