Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Dah eti "kila mtu ana mshahara wake tusipelekeshane" ujinga sana huu wakuu. Sina mengi.
7 Reactions
41 Replies
444 Views
Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
923 Reactions
1M Replies
40M Views
Kindly refer to the heading above.. Na hii sio mwanamke wako tu, hata yule ambaye unamtaka. Kwa mfano; [emoji116] Money transfer successful! TSH 200,000.00 was sent to NMB Bank account no...
47 Reactions
487 Replies
5K Views
Hizi mbinu ninazo wapa haimaanishi kwamba mimi binafsi nimezitumia au nilishawahi kuzitumia ila hii inatokana na uzoefu wangu mdogo humu jamvini Kwakuwa wanawake wanapenda mambo mazuri basi...
15 Reactions
130 Replies
2K Views
Nipo kwenye mahusiano na mlimbwende mmoja (mchepuko); ambaye ameamua kuwa na mimi pale mama watoto anapokuwa mbali nami kijiografia. Nimekuwa nampa shoo za ukweli mara kwa mara, na hii...
11 Reactions
36 Replies
1K Views
Kitendo cha mkuu wa nchi kukimbia sherehe za Mei mosi eti kwa sababu kikokotoo ni mwiba kwa wafanyakazi ajue kuwa hapo hajatibu chochote. CCM katika zama hizi isiamini kushinda uchaguzi mkuu kwa...
12 Reactions
109 Replies
3K Views
Wakuu kwa wale wapenzi wa Isidingo tuliipenda sana lakini hakuna kisicho na mwisho. Hivyo kwa sisi wafuatiliaji wa ITV wameamua kutuletea tamthilia mpya ya Uzalo, japo sina hakika kama ni mpya...
11 Reactions
2K Replies
99K Views
Habari! Hivi hii tabia ya wabunge kutohudhuria vikao bungeni iliyokithiri, inasababishwa na nini? Huo utoro nadhani madam speaker, bunge limemshinda kabisa au wabunge wengi hawaoni umuhimu wa wao...
1 Reactions
6 Replies
212 Views
Habari wana jf! Naomba msaada kwa anayefahamu taratibu za kuhama kutoka halmashauri kwenda mashirika ya umma. Mimi nilikuwa nafanya kazi katika shirika la TANESCO kwa miaka mitano nikiwa...
2 Reactions
27 Replies
4K Views
Christina Shusho aliibuka mbele ya jamii na kusema kuwa ''aliamua kuachana na mume wake na kuamua kumtumikia mungu'' na hiyo ilikuja baada ya kuona mashabiki wake wakimuuliza sana na kumsihii...
15 Reactions
55 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,851,218
Posts
49,567,400
Members
667,810
Latest member
mambatz
Back
Top Bottom