Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hilo ni ombi langu kwa Watanzania wote na Mungu wa mbinguni atawabariki sana Nawatakia Dominica Njema 😄
2 Reactions
24 Replies
93 Views
Huyu pia ni miongoni mwa watu wenye bahati za juu duniani Frane Selak alizaliwa tar 14/6/1929 nchini Croatia kitaaluma ni mwalimu wa mziki .....kwanini ameingia kwenye orodha ya kuwa ni miongoni...
0 Reactions
2 Replies
28 Views
Unakuta upo kwenye mahusiano na mwanaume,kazi yake kusifia unavyopendeza Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira Ukipita au ukienda kwake au akikuita hotel...
8 Reactions
111 Replies
552 Views
Kwa mujibu wa nyaraka za Sumeria , zinazungumzia namna Binadamu alivyotokea , Binadamu alitengenezwa maabara (Genetic engineering) na kazi yake ilikuwa ni kufanya kazi kwenye migodi ya dhahabu...
12 Reactions
48 Replies
3K Views
Wachezaji ni kama kausha damu tu,msimu mzima ucheze nechi tatu na uikamue klabu milioni 300 za mshahara,usajiri na bonus,wastani wa milioni 100 kwa kila mechi. Je huu ni uungwana? Kwa nini timu...
1 Reactions
2 Replies
11 Views
Kindly refer to the heading above.. Na hii sio mwanamke wako tu, hata yule ambaye unamtaka. Kwa mfano; [emoji116] Money transfer successful! TSH 200,000.00 was sent to NMB Bank account no...
51 Reactions
518 Replies
6K Views
Hali ni mbaya. Maji ni mengi mji wa ifakara kwa 80% upo kwenye maji. Hasara nibkubwa haswa kwa wafanya biashara za hardware. Ciment na gipsam zimeharibika kwa kiwango kikubwa Kuna baadhi ya...
2 Reactions
7 Replies
17 Views
  • Sticky
Mimi Mama wawili (naamini na wengine wengi) nina nia sana ya kujifunza na kuboresha uwezo wangu wa kutumia Lugha ya Kiingereza. Nimeomba ushauri na nimepata jibu kuwa kuna washiriki wengi hapa...
49 Reactions
2K Replies
200K Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
513K Replies
29M Views
Vita ya urais kati ya Lissu na Mbowe yaipasua CHADEMA. Mgogoro mkubwa wa madaraka waibuka kuwania ugombea urais 2025 Lissu akianika chama chake hadharani, asema CHADEMA imekithiri rushwa...
3 Reactions
49 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,851,293
Posts
49,569,290
Members
667,846
Latest member
madoree
Back
Top Bottom