Kindly refer to the heading above..
Na hii sio mwanamke wako tu, hata yule ambaye unamtaka. Kwa mfano; [emoji116]
Money transfer successful! TSH 200,000.00 was sent to NMB Bank account no...
Kwa kweli shillingi ya Tanzania inaporomoka kwa kasi ya kutisha dhidi ya sarafu nyingine. Ukitaka kujua kuwa shillingi yetu inaporomoka kwa kasi linganisha bei ya bidhaa kwa leo na ulinganishe na...
Pension za wastaafu za kila mwezi kutoka hazina mpaka leo tarehe 4 May hazijalipwa. Je,zimepelekwa sikukuu ya wafanyakazi Mei Mosi?
Hakuna asiyejua adha ya wastaafu,hasa wale wanayopata pension...
Nimetembea na wake za watu sana, kwa uozo nilioushuhudia niliapa kabisaa sintakuja kuoa ila leo nimetengua kauli yangu, jamani mapenzi matamu asikwambie mtu, duh! Nimempata binti, mtoto mdogo...
Leo napenda kuzingumzia Simu yangu kwa namna ambavyo imechakingia kubadili mfumo wa maisha yangu katika mitazamo,kielimu, kijamii,kisiasa,kitamaduni burudani hata kidini.
Wakati wa miaka ya 2005...
Kwahiyo Yeye Mkewe hachepuki, Yeye hachepuki na kwamba Yeye ni Mtakatifu sana katika Mahusiano na Saikolojia? Tafadhali mwenye Picha ya Mke wa Dk. Chris Mauki tafadhali aiweke hapa ili labda wenye...
Ni swali dogo tu la kawaida hata KICHAA anaweza kulijibu.CCM imekuwa inajisifu kuwa ina idadi kubwa ya Wanachama ambao kiuchaguzi ni Mtaji mkubwa wa Kuipigia kura CCM.Pia CCM imekuwa inajisifu...
Habari wana JF
Matumaini yangu wote mko poa kabisa.
Uzi huu ni kwaajili ya wote. Lengo ni kujadili changamoto zinazotukabili, pia Kupeana support katika mambo yetu hapa JF. Tupeane mbinu za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.