Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hapa tanzania kuna kasoro inaweza kuwa ni vinasaba yetu tuliyopewa na mungu ukilinganisha na mataifa mengine na tabia zao. Kwa nini watu wenye maono,wazo,maarifa,uthubutu na mafanikio yakijitokeza...
0 Reactions
3 Replies
6 Views
Habari wakuu, Hii mitandao imekuwa ikiwapa watu umaarufu na kisha kuwapoteza, Mara nyingi mtu anaeibuka kuwa Maarufu mtandaoni huwa hategemei kuwa kituko chake kitampa umaarufu bali hutokea tu...
16 Reactions
61 Replies
3K Views
Sikiliza Afande Sele alivyowashukia CHADEMA hapa
3 Reactions
44 Replies
848 Views
Mzuka wanajamvi! Matumaini yangu muwazima na buheri wa afya. Kwa upande wangu really I cant complain. Moja kwa moja kwenye mada. Kuna majina mengi ya vitu tofauti wengi hatufahamu kwa...
5 Reactions
48 Replies
610 Views
Wakuu, kwema. Kwa wale ambao wamewahi kununua gari, kwa kuagiza, kwa mtu au showroom, hivi rangi ya gari uwa unaiweka katika options zako za muhimu au? Kwa upande wangu, rangi ya gari nilikua...
5 Reactions
19 Replies
187 Views
Kama wewe ni mnywaji wa pombe zinazotengenezwa kwa ngano au pombe kali inakuhusu hii. Wataalamu wa afya wameeleza uwepo wa athari hasi, kwa wale wenye tabia za kunywa pombe kabla ya kula chakula...
2 Reactions
13 Replies
87 Views
  • Poll
Taarifa kamili kutoka ndani ya makao makuu ya chama zinasema kuwa chama hiko kwasasa hakiwezi kuwa pamoja either mmoja kati ya Mbowe au Lissu aondoke ndani ya chama hicho. Mzozo mkali umeibuka...
6 Reactions
77 Replies
3K Views
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
266 Reactions
163K Replies
4M Views
Niwakumbushe tu Hongkong na Macau ni special administration regions za China, Wazanzibar msijisahau kuwa na ninyi ni Special administration region ya Tanzania/Tanganyika. Serikali ya Zanzibar is...
1 Reactions
4 Replies
72 Views
Match Day. NBC Premier League. Simba vs Mtibwa Azam Complex 04.00 PM Leo majira ya saa kumi jioni timu ya Simba itawakaribisha wageni wao timu ya Mtibwa katika mechi ya NBC premier league ikiwa...
6 Reactions
115 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,850,834
Posts
49,556,449
Members
667,672
Latest member
Rozy2022
Back
Top Bottom