Inaeleweka wazi kukaribiana au kupakana na kisiwa ni hatari kwa security ya nchi ndo mana nyerer aliona mbali na kukinyakua. Sasa akina lisu wenye akili finyu hilo hawalioni na wengine wenye fikra...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) tunakaribisha maoni mbalimbali na hata mawazo tofauti kati ya wanachama na viongozi wetu. Kama chama cha kidemokrasi, CDM tunaona suala la kutofautiana...
Habari
Kuna jambo limenitatiza sana, nina mke naishi nae ana mtoto mdogo ananyonyesha. Ameweka kitanzi kama njia za uzazi.
Nilisafiri mkoani tukawa tunachart akaniambia nikifanya mapenzi na wewe...
Zitto Kabwe amewashangaa wale ambao wanahoji kuhusu Muungano hasa huku Bara akisema hawajui kitu kwani wanaotakiwa kuhoji ni Wazanzibar.
Zitto ambae ni mtaalamu wa kujenga hoja Kwa takwimu...
Hii topic ni distraction. Mimi nilitaka kuandika kuhusu jambo lingine.
Lakini 1964,kama TFL ilivunjwa ni kwa sababu iliunga mkono maasi ya Colito Barracks.
Lakini ni kweli anavyosema Tundu Lissu...
Endelezeni kunywa mtori Nyama mtazikuta chini
Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema taifa utafichua Siri nyingi sana kama busara haitachukua Nafasi yake
Kuna mambo Mengi yaliachwa kwenye mabano huko...
Gazeti La Dunia
Taabini: Hashil Seif, mpigania haki asiyeyumba (Januari 12, 1938 – Oktoba 27, 2023)
Ahmed Rajab
Ahmed Rajab
Na Ahmed Rajab
UJUMBE wa simu ulipoingia asubuhi ya Ijumaa iliyopita...
Wakati huu wa uchaguzi Chadema wanaogelea katika bahari ya hela, je ruzuku yetu iko salama? Hiki chama ndio huwananga CCM kila siku, kumbe ndani kimeoza, kinapendeza kwenye maneno ya ilani tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.