Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Akiwa mkoani Iringa katika mkutano wa hadhara Lissu amesema hajui ilikuwaje CHADEMA ikamualika mama kwenye mkutano wa CHADEMA maana huwa hawaji wenyewe ni mpaka waalikwe. Aidha Lissu...
5 Reactions
16 Replies
754 Views
Kesi ya madai ya sh,milioni 123 inayoikabili kampuni ya Mabasi ya Kilimanjaro Track co.ltd dhidi ya Msanii wa kizaźi kipya,Nuni Suleiman(35) Mkazi wa Dar es salaam, imeunguruma katika mahakama ya...
6 Reactions
24 Replies
3K Views
Socrates aliwahi sema"Akili kubwa hujadili hoja, akili ya wastani hujadili matukio na akili ya chini kabisa hujadili watu". Mjadala unaoendelea sasa nchini kuhusu muungano ni muhimu kwa maslahi...
1 Reactions
6 Replies
251 Views
Unaambiwa Kwa Sasa MTU Bora asile lakini aweke Bando afatilie Lissu kasema nini !!!. CCM ya Makala na Nchimbi, Iko wapi?? Mbona imepoteana . Kidogooooo Arusha ndio imekucha, Wana Arusha Kwa Sasa...
5 Reactions
25 Replies
565 Views
Habari wana Bodi. Nimekuwa nikiwaza mara kadhaa kuu ya hizi takwimu za mtandao wangu pendwa mzee nisie na makuu. Hivi ni sahihi kweli kwamba tuko watu laki sita na ushee tuu? Post zilizotumwa...
3 Reactions
40 Replies
401 Views
Rais wa Yanga atangaza atakavyo watambulisha Chama na Kibu Rais wa Yanga amesema watamtambulisha mchezaji mpya ambapo kwa taarifa za ndani ni kati ya Kibu au Chama kabla ya msimu huu kutamatika...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Nchi yetu miaka michache ijayo tutaanza kupambana na Wachina. Inakuaje mchina anakuja nchini kufungua supermarket. Wachina wametapakaa kila kona ya hii nchi wanachukua fursa za Watanzania. Juzi...
8 Reactions
35 Replies
650 Views
Inakuaje vyuo vyote Tanzania kasoro vyuo vi chache ma lecturers ku-lecture kwa kutumia lugha ya kiswahili through out the lecture period, ila akitunga mitihani ni kiingereza kigumu cha misamiati...
7 Reactions
46 Replies
396 Views
Wanaukumbi. Bunge la Marekani limepitisha kitendo ambacho kinapiga marufuku kabisa kuongea na kupinga Israel. Hata ukihubiri sehemu za biblia zinazosema wazi siku ambazo Wayahudi walimuua Kristo...
2 Reactions
32 Replies
1K Views
  • Suggestion
Miaka ya karibuni na hadi sasa Tanzania na dunia kwa ujumla imekua ikikumbwa na majanga mbalimbali yakiwemo mafuriko, matetemeko, milipuko ya magonjwa, moto, vimbuga na maporomoko ya udongo...
0 Reactions
1 Replies
18 Views

FORUM STATS

Threads
1,850,662
Posts
49,552,523
Members
667,575
Latest member
BabuKijiko
Back
Top Bottom